Mkuu wa Mawaziri na ambaye pia ni Waziri wa Masuala ya Kigeni, Musalia Mudavadi amesema kuwa serikali itahakikisha wakenya wanaoishi nje ya nchi hawadhalilishwi katika mataifa hayo ya kigeni.
Mudavadi amesema Kenya haitalegea katika juhudi zake za kuwalinda watu wake popote walipo na kwamba serikali itapeleka zana zake za kidiplomasia kwa ajili hiyo.
Aliyasema hayo wakati wa hafla ya kukabidhiwa rasmi Wizara ya Masuala ya Kigeni na Diaspora jijini Nairobi. Mudavadi anachukua wadhifa huo kutoka kwa Alfred Mutua aliyehamishwa hadi katika wizara ya Utalii na Wanyamapori.
𝐇𝐀𝐍𝐃𝐈𝐍𝐆 𝐎𝐕𝐄𝐑 𝐓𝐇𝐄 𝐌𝐀𝐍𝐓𝐋𝐄 𝐎𝐅 𝐋𝐄𝐀𝐃𝐄𝐑𝐒𝐇𝐈𝐏 𝐎𝐅 𝐓𝐇𝐄 𝐌𝐈𝐍𝐈𝐒𝐓𝐑𝐘 𝐎𝐅 𝐅𝐎𝐑𝐄𝐈𝐆𝐍 𝐀𝐍𝐃 𝐃𝐈𝐀𝐒𝐏𝐎𝐑𝐀 𝐀𝐅𝐅𝐀𝐈𝐑𝐒 𝐓𝐎 𝐏𝐑𝐈𝐌𝐄 𝐂𝐀𝐁𝐈𝐍𝐄𝐓 𝐒𝐄𝐂𝐑𝐄𝐓𝐀𝐑𝐘 𝐇.𝐄. 𝐃𝐑. 𝐌𝐔𝐒𝐀𝐋𝐈𝐀 𝐌𝐔𝐃𝐀𝐕𝐀𝐃𝐈, 𝐄.𝐆.𝐇.
Today, I was… pic.twitter.com/cWSDmWClWa
— 𝓓𝓻. 𝓐𝓵𝓯𝓻𝓮𝓭 𝓝. 𝓜𝓾𝓽𝓾𝓪 (@DrAlfredMutua) October 17, 2023
I want to assure you all that I remain committed to the progress and development of our beloved nation in my new capacity as the Cabinet Secretary for @Min_TourismKE.
In conclusion, let us continue to work together as a nation, building bridges with the international community… pic.twitter.com/t7ExF7zAgD
— 𝓓𝓻. 𝓐𝓵𝓯𝓻𝓮𝓭 𝓝. 𝓜𝓾𝓽𝓾𝓪 (@DrAlfredMutua) October 17, 2023