BY ISAYA BURUGU,22ND APRIL,2023-Mwanamme wa miaka 25 anauguza majeraha baada ya kuvamiwa na umati uliojawa na hasira kwa kumua mwanamke wa miaka 22 kuhusiana na mzozo wa kimapezni mjini Kitengela kaunti ya Kajiado.Marehemu anaripotiwa kukataa ombi la mwanamme kutaka kuwa naye kwenye…
BY ISAYA BURUGU,22ND APRIL,2023-Rais William Ruto yuko Igembe kaskazini , kaunti ya Meru kuzindua ukarabati wa barabara ya Kaelo-Kamukunji-Mutuati kufikia kiwango cha kisasa. Rais ni mgeni wa gavana Kawira Mwangaza miongoni mwa viongozi wengine akiwemo Waziri wa kilimo Mithika Linturi.Akiwahutubia wenyeji ,…
Naibu Rais Rigathi Gachagua amewataka wawakilishiwadi na viongozi wa maeneo ya mlima Kenya kuiunga mkono serikali katika vita vyake dhidi ya uraibu na ugemaji wa pombe haramu katika maeneo hayo. Akizungumza katika kikao cha mashauriano na wawakilishiwadi kutoka katika kaunti za Nyeri,…
Rais William Ruto amemteua aliyekuwa Gavana wa Meru Kiraitu Murungi kuwa mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Kitaifa la Mafuta. Kulingana na Notisi ya Gazeti la tarehe 20 Aprili 2023, Kiraitu atashikilia wadhifa huo kwa muda wa miaka mitatu. Pia…
BY ISAYA BURUGU,21ST APRIL,2023-Ulimwengu unajiandaa kuadhimisha siku ya malaria duniani wiki ijayo.Hata ingawa kuna mengi yaliyoafanywa katika kutokomeza ugonjwa huo humu nchini mengi pia yanasalia kutekelezwa. Kwa mfano katika kaunti ya Siaya mbu wanaosabbaisha malaria wanaripotiwa kuongezeka haswa kijiji cha hawinga katika…
BY ISAYA BURUGU 21ST APRIL,2023-Waislam wengi humu nchini wanasherehekea Eid al Fitr kuashiria kukamilika rasmi kwa mwezi mtukufu wa mfungo wa Ramadhan. Maelfu ya waumini wakislam wamekongamano katika maeneo mbali mbali ya kuabududia na viwanja kote nchini nyakati za asubuhi kwa maombi…
Shirika la msalaba mwekundu nchini litafaidi na mgao wa shilingi milioni 100 kuanzia mwaka ujao wa kifedha kutoka kwa hazina ya kitaifa. Hii ni mojawpao ya njia za serikali kuimarisha upatikanaji wa huduma za dharura kwa wakenya. Hatua hii inafuatia tangazo la…
Bunge la kitaifa hivi leo limeidhinisha uteuzi wa Dkt. David Oginde kama mwenyekiti mpya wa tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini EACC. Dkt. Oginde aliteuliwa na rais kutwaa wadhifa huo kufuatia kukamilika kwa kipindi cha kuhudumu cha Askofu Mstaafu wa…