Mwanamme avamiwa na kujeruhiwa baada ya kumua mwanamke Kitengela

BY ISAYA BURUGU,22ND APRIL,2023-Mwanamme wa miaka 25 anauguza majeraha baada ya kuvamiwa na umati uliojawa na hasira kwa  kumua mwanamke wa miaka 22 kuhusiana na mzozo wa kimapezni mjini Kitengela kaunti ya Kajiado.Marehemu anaripotiwa kukataa ombi la mwanamme kutaka kuwa naye kwenye…

Rais Wiliam Ruto asema wakati wakupiga siasa umekwisha, ni wakati wa kuwahudumia wananchi

BY ISAYA BURUGU,22ND APRIL,2023-Rais  William Ruto yuko  Igembe kaskazini , kaunti ya Meru kuzindua ukarabati wa barabara ya  Kaelo-Kamukunji-Mutuati  kufikia kiwango cha kisasa. Rais ni mgeni wa gavana  Kawira Mwangaza miongoni mwa viongozi wengine akiwemo Waziri wa kilimo  Mithika Linturi.Akiwahutubia wenyeji ,…

Naibu rais awahimiza MCA mlima Kenya kuunga mkono vita dhidi ya Pombe haramu.

Naibu Rais Rigathi Gachagua amewataka wawakilishiwadi na viongozi wa maeneo ya mlima Kenya kuiunga mkono serikali katika vita vyake dhidi ya uraibu na ugemaji wa pombe haramu katika maeneo hayo. Akizungumza katika kikao cha mashauriano na wawakilishiwadi kutoka katika kaunti za Nyeri,…

Rais William Ruto afanya uteuzi mpya katika mashirika ya serikali.

Rais William Ruto amemteua aliyekuwa Gavana wa Meru Kiraitu Murungi kuwa mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Kitaifa la Mafuta. Kulingana na Notisi ya Gazeti la tarehe 20 Aprili 2023, Kiraitu atashikilia wadhifa huo kwa muda wa miaka mitatu. Pia…

Serikali yatakiwa kusambaza vyandarua vya kuzuia mbu kwenye sehemu zinazokumbw ana visa vya malaria

BY ISAYA BURUGU,21ST APRIL,2023-Ulimwengu unajiandaa kuadhimisha siku ya malaria duniani wiki ijayo.Hata ingawa kuna mengi yaliyoafanywa katika kutokomeza ugonjwa huo humu nchini mengi pia yanasalia kutekelezwa. Kwa mfano katika kaunti ya Siaya mbu wanaosabbaisha malaria wanaripotiwa kuongezeka haswa kijiji cha hawinga katika…

Waislam wamiminika katika maeneo ya kuabudu kutoa sala za shukrani kufuatia kukamilika kwa mwezi wa Ramadhan

BY ISAYA BURUGU 21ST APRIL,2023-Waislam wengi humu nchini wanasherehekea  Eid al Fitr  kuashiria kukamilika rasmi kwa mwezi mtukufu wa mfungo wa Ramadhan. Maelfu ya waumini wakislam wamekongamano katika maeneo  mbali mbali ya kuabududia na viwanja kote nchini nyakati za asubuhi kwa maombi…

Shirika la Msalaba mwekundu kurejeshewa mgao wake wa bajeti.

Shirika la msalaba mwekundu nchini litafaidi na mgao wa shilingi milioni 100 kuanzia mwaka ujao wa kifedha kutoka kwa hazina ya kitaifa. Hii ni mojawpao ya njia za serikali kuimarisha upatikanaji wa huduma za dharura kwa wakenya. Hatua hii inafuatia tangazo la…

Uteuzi wa Dr.David Oginde kama mwenyekiti wa EACC waidhinishwa na Bunge.

Bunge la kitaifa hivi leo limeidhinisha uteuzi wa Dkt. David Oginde kama mwenyekiti mpya wa tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini EACC. Dkt. Oginde aliteuliwa na rais kutwaa wadhifa huo kufuatia kukamilika kwa kipindi cha kuhudumu cha Askofu Mstaafu wa…