Wajumbe wa serikali na upinzani wakutana katika juhudi za kupanga ratiba ya mazungumzo.

Wajumbe wa serikali na upinzani walikutana hii leo jijini Nairobi katika juhudi za kupanga ratiba ya mazungumzo. Mkutano huo ulifuatia agizo la spika wa bunge la kitaifa Moses Wetangula aliyewataka viongozi wa Azimio na Kenya Kwanza kupanga Ajenda. Uongozi wa bunge kutoka …

Viongozi wa Azimio wandaa mkutano wa faragha Muranga

BY ISAYA BURUGU,20TH APRIL,2023-Mungano wa Azimio la umoja umeandaa mkutano wake  wa kukutana na wananchi mjini Muranga kaunti ya Muranga hivi leo. Mkutano huo umehudhuriwa na viongozi wanaoegemea murengo huo,wakiwemo Raila Odinga,Martha Karua,Jeremiah Kioni,Kalonzo Muysoka na Wycliff Oparanya, Eugine Wamalwa kati ya…

Utafiti mpya waonyesha kuwa wakenya wengi wanaamini Rais Wiliam Ruto alishinda uchaguzi wa urais mwaka jana

BY ISAYA BURUGU,20TH APRIL,2023-Matokeo ya utafiti mpya yameonyesha kuwa Wakenya wengi wanaamini kuwa Rais William Ruto alishinda uchaguzi wa Urais wa Agosti 2022.Haya ni kwa mjibu wa  kura ya maoni mpya ya TIFA .Kura hiyo ya maoni iliyotolewa leo  inaonyesha kuwa miongoni…

Rais Ruto asikitikia hali tata ya kivita katika taifa la Sudan.

Rais William Ruto ametoa wito wa kusitishwa vita na makabiliano ya kijeshi katika taifa la Sudan, akieleza kwamba kuendelea kwa hali tata ya kivita katika taifa hilo kunasababisha hali ya wasiwasi sio tu katika taifa hilo bali pia katika ukanda wa mataifa…

Ijumaa yatangazwa kama siku ya likizo ya umma kwa maadhimisho ya Idd-ul-Fitr.

Waziri wa usalama wa Ndani Kithure Kindiki ametangaza kuwa siku ya Ijumaa, Aprili 21 itakuwa sikukuu ya umma ili kutoa nafasi kwa waumini wa dini ya kiksristu kusherehekea Idd-ul-Fitr. Tangazo hilo limechapishwa katika notisi ya gazeti la serikali iliyochapishwa hii leo kwa…

Waziri Kindiki atangaza Ijumaa hii kuwa siku kuu yakitaifa kuadhimisha Eid al-Fitr,

BY ISAYA BURUGU,19TH APRIL,2023-Waziri wa usalama wa ndani Kithure Kindiki ametangaza ijumaa wiki hii Aprili 21 kuwa siku kuu yakitaifa kuadhimisha shere ya Idd-ul-Fitr. Kupitia notisi rasmi katika gazeti la serikali,Waziri Kindiki amesema hatua hiyo inambatana na mamlaka aliyo nayo  chini ya…

Shinikizo lazidi kutolewa kwa kwa mhubiri mwenye utata wa Paul Makenzi kuchukuliwa hatua kali

 BY ISAYA BURUGU,19TH APRIL,2023-Viongozi katika bunge la kaunti ya Kilifi wametishia kushiriki mandamano kushinikiza kuchukuliwa kwa hatua kali kwa mhubiri tata Paul Makenzi anayezuiliwa katika kituo cha polisi cha Malindi Pamoja na wafuasi wake. Viongozi hao wakiongozwa na spika wa bunge hilo…

Azimio maandamano

Mkutano wa Azimio ulionuiwa kuandaliwa Muranga Alahamisi wafutiliwa mbali

BY ISAYA BURUGU,19TH APRIL,2023-Kikoa  cha mungano   wa Azimio  la umoja kilichonua kuandaliwa kaunti ya Muranga hiyo kesho kimefutiliwa mbali.Kamanda wa polisi wa Muranga David Mathiu amekatalia mbali ombi la Azimio kuandaa mkutano huo  akisema maafoisa wa polisi wamepewa jukumu kwingineko  na walihitaji…