Wanafunzi tano waangamia katika ajali ya Barabara Naivasha.

Wanafunzi tano wa shule ya upili wameaga dunia adhuhuri ya leo, baada ya matatu walimokuwa wakisafiria kuhusika katika ajali mbaya katika eneo la Delamere, Naivasha kwenye barabara kuu ya Nakuru-Nairobi. Wanafunzi hao kutoka Shule ya Upili ya Wasichana ya Mbihi iliyo katika…

Wetangula ataka Azimio na Kenya Kwanza kutafuta njia ya kuendesha mazungumzo.

Spika wa bunge la kitaifa Moses Wetangula amewataka viongozi wa mirengo miwili mikuu bungeni kutafuta njia za kuafikia makubaliano kuhusu jinsi ya kutekeleza mazungumzo ya pande mbili, baada ya mswada kuhusu mazungumzo hayo kuwasilishwa bungeni. Wetangula alidhibitisha kupokea mswada huo, akieleza kwamba…

Jinamizi la ajali:Wanafunzi 6 waaga dunia kwenye ajali Naivasha

BY ISAYA BURUGU,18TH APRIL,2023-Takriban wanafunzi 6 wamefariki kufuatia ajali mbaya ya barabarani eneo la Delamare Naivasha kaunti ya Nakuru. Wanafunzi hao walikuwa wakisafiri kutoka Magharibi mwa Kenya kuelekea Nairobi ajali ilipotokea. Sita hao walikufa papo hapo. Ajali hiyo ilihusisha lori na matatu…

Azimio yasema haitashiriki mazungumzo na Kenya Kwanza bungeni ikitoa marsharti

BY ISAYA  BURUGU,18TH APRIL,2023-Muungano wa Azimio la Umoja  hivi leo  umeonya kwamba hautashiriki  kabisa hoja iliyoandaliwa na Wabunge wa Kenya Kwanza katika azma ya kuunda Kamati ya Vyama Viwili. Wakizungumza katika Kituo cha Stephen Kalonzo Musyoka (SKM) jijini Nairobi, muungano unaoongozwa na…

Gavana wa Mombasa ajitenga na mandamano ya Azimio la umoja na badala yake kuitaka serikali kuu kutoa mgao wa fedha za kaunti

BY ISAYA BURUGU,18TH APRIL,2023-Gavana wa Mombasa Abduswamad Nasir amejitenga na mandamano yaliyopangwa na mungano wa Azimio la umoja.Swamada amesema hayo alipotmbelewa na  mkuu Waziri Musalia Mudavadi.Hata hivyo gavana huyo ameiataka serikali kuu kuhakikisha kuwa mgao wa fedha uliyotengewa serikali za kaunti unatumwa…

Mwanamme alimbaka Bintiye kule Mwea akamatwa

BY ISAYA BURUGU,18TH APRIL,2023-Maafisa wa polisi kutoka kituo cha polisi cha Wanguru  kule mwea mashariki kauntiti ya Kirinyaga  wamemtia mbaroni mwanamme anayeshukiwa kumbaka btinye wa umri wa miaka miwili unusu. Mtoto huyo  anaripotiwa kuachwa na mamake aliyekuwa ametofautiana na babake  wakati kisa…

Bodi ya usimamizi katika hospitali ya Mama Lucy yavunjwa.

Gavana wa kaunti ya Nairobi John Sakaja ameteua bodi mpya ya usimamizi katika hospitali ya Mama Lucy, baada ya tukio la kuhuzunisha lililonaswa kwenye video zilizosambaa mitandaoni. Kanda hiyo ilonyesha mama mjamzito aliyekuwa amelala nje ya lango la hospitali hiyo akitafuta huduma…

Rais Ruto azindua shehena ya Oksijeni kueleka katika hospitali mbalimbali nchini.

Rais William Ruto ameongoza zoezi la kuzindua shehena ya mitungi ya gesi ya Oxygeni, itakayopelekwa katika hospitali mbalimbali za kaunti kote nchini. Akizungumza kwenye hafla hiyo iliyoandaliwa katika ikulu ya Nairobi na kuhudhuriwa na magavana mbalimbali Pamoja na washirika wengine wa serikali…