Kinara wa upinzani Raila Odinga amesema kwamba maandamano ya upinzani yaliyositishwa yatarejelewa tena katika kipindi cha juma moja lijalo. Akizungumza katika jengo la Ufungamano baada ya kuongoza mkutano wa mashauriano na wananchi, Odinga amesema kwamba atatangaza tarehe rasmi ya kurejea kwa maandamano…
Naibu Wa Rais Rigathi Gachagua hii leo aliongoza katika zoezi la upokezi wa shehena ya kwanza ya Mafuta yaliyoagizwa na kununuliwa katika ushirikiano kati ya serikali ya Kenya na ile ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) Mkataba huo wa kibiashara ulifuatia…
Jopo la watu saba lililoteuliwa na muungano wa Azimio kuwakilisha kwenye mazungumzo ya kuleta uwiano kati yao na mrengo wa Kenya Kwanza umemtaja wakili Paul Mwangi kama katibu wa Pamoja , Prof Makau Mutua na Jeremiah Kioni kama wasaidizi kabla ya kuanza…
Waziri wa elimu Ezekiel Machogu, katibu wake Belio Kipsang pamoja na afisa mkuu mtendaji wa baraza la kitaifa la mitihani KNEC David Njegere hii leo wamefika mbele ya kamati ya elimu kujibu maswali kuhusiana na madai ya udanganyifu kwenye mtihani wa mwaka…
BY ISAYA BURUGU 13TH APRIL,2023-Mkurugenzi mkuu wa kiwanda cha pombe cha Keroche Breweries Tabitha Karanja amekanusha mashtaka mapya ya kukwepa kulipa ushuru. Mashtaka hayo yalitokana na ombi kutoka kwa kiongozi wa mashtaka kutaka marekebisho kwa orodha ya awali ya mashtaka ya kukwepa kulipa…
BY ISAYA BURUGU 13TH APRIL,2023-Douglas Kanja ameapishwa na jaji mkuu Martha Koome katika mahakama ya juu Zaidi kama naibu inspekta jenerali wa polisi.Kanja aliyekuwa kamanda wa kitengo cha GSU aliteuliwa na rais Wiliamu Ruto jana jioni kuwa kuchukua nafasi iliyowachwa wazi baada…
Maafisa wa polisi sasa hawataruhusiwa kuhudumu katika kituo kimoja kwa zaidi ya miaka mitatu. Haya ni kwa mujibu wa Waziri wa usalama wa ndani Kithure Kindiki ambaye amesema kwamba wizara hiyo imeanzisha juhudi za kuhakikisha kwamba maafisa waliohuduma katika kituo kimoja kwa…
Rais William Ruto amemteua Douglas Kanja Kirocho kama naibu Inspekta jenerali wa Polisi nchini, kuchukua mahala palipoachwa wazi na Edward Mbugua aliyestaafu mwezi jana. Katika notisi iliyochapishwa na mkuu wa Utumishi wa umma nchini Felix Koskei hii leo, Rais pia amemteua Bruno…