Waziri wa usalama wa ndani Kithure Kindiki amesema kuwa wizara hiyo haijawahi toa agizo la kutumia risasi wakati wa maandamano humu nchini. Akizungumza alipofika mbele ya wabunge, Kindiki ameeleza kuwa Maafisa wote wanaohusika katika kusimamia maandamano ya umma, ghasia na udhibiti wa…
BY ISAYA BURUGU,12TH APRIL,2023-Mwanamke mmoja anazuliwa katika kituo cha polisi cha Muthaiga baada ya kuhusishwa na shehena haramu ya sigara iliyopatikana katika nyumba moja ya makazi, eneo la Kahawa West, Kaunti ya Nairobi. Veronicah Njeri Kariuki anawasaidia wapelelezi katika uchunguzi wa sigara…
Rais William Ruto amesema kuwa utawala wake hautakopa pesa ili kuwalipa wafanyikazi wa umma mishahara yao. Akizungumza katika hafla ya kutolewa kwa ripoti ya utendakazi wa idara za umma katika ukumbi wa KICC, Rais alieleza kwamba tatizo la kucheleweshwa kwa mishahara ya…
BY ISAYA BURUGU,11TH APRIL,2023-Murengo wa Kenya Kwanza umezindua jopo lake la watu saba litakaloshiriki mazungumzo ya Pamoja ya bunge na upande wa upinzani.Kwenye mkao na wandishi Habari,kinara wa wengi katika bunge la kitaiafa Kimani Ichung’wa amesema kuwa wabunge hao walichaguliwa kufuatia mazungumzo …
BY ISAYA BURUGU,11TH APRIL,2023-Washukiwa watatu wanaoshutumiwa kuhusika na kifo cha mhubiri wa eneo la Mt Elgon wamekamatwa.Idara ya upelelezi wa jinai DCI, inasema washukiwa hao wamewekwa kwenye rumande kwa kuhusika na kifo cha David Ngeiwa ambaye aliuawa kinyama tarehe 7, Machi 2023…
Rais William Ruto anatarajiwa kuongoza shughuli ya utoaji wa Ripoti ya kutadhmini Utendakazi wa wizara mbalimbali, mashirika ya Serikali Pamoja na Taasisi za elimu ya juu ya mwaka uliopita wa kifedha wa 2021/22 hapo kesho, katika hafla itakayoandaliwa kwenye ukumbi wa KICC…
Timu ya usalama inayoendesha oparesheni katika maeneo yanayoshuhudia utovu wa usalama ilifanikiwa kurejesha mbuzi 25 na kondoo 16 waliokuwa wameibiwa na majambazi huko Baringo Kusini. Kulingana na Huduma ya Kitaifa ya Polisi NPS, timu hiyo ilipokea simu kwamba majambazi wamevamia na kuiba…
BY ISAYA BURUGU ,10TH APRIL,2023-Chama cha ODM kimepuzilia mbali taarifa kuwa kimewabadilisha viongozi wa chama hicho katika kaunti ya Kakamega.Kupitia taarifa iliyotolewa leo,Chama hicho kimedai kuwa kimepokea taarifa zinazodai kuwa kumekuwa na mageuzi ya uongozi wa chama katika kaunti hiyo. ODM ikizitaja…