BY ISAYA BURUGU 10TH APRIL,2023-Waziri wa uchukuzi na miundo msingi Kipchumba Murkomen amesema kuwa serikali haijafilisika bali inakabiliana na mzogo mzito wa madeni ilijipata ndani kutoka kwa utawala wa serikali ya awali ya Jubilee.Kwa mjibu wa Murkomen ni kwamba deni hilo ni…
BY ISAYA BURUGU,7TH APRIL,2023-Taharuki ingali imetanda katika Kijiji cha Lami nyeusi kaunti a pokot magharibi baada ya Watu watano kuawa jana na majambazi waliokuwa na silaha kali walipovamia Kijiji hicho.Mtu mwingine anauguza majeraha ya risasi kufuatia shambulio hilo, polisi na wenyeji walisema.…
Chama cha Muungano wa Azimio la Umoja kimetangaza kikosi cha Viongozi saba wanaotarajiwa kuwakilisha mrengo huo katika mazungumzo ya kutafuta mwafaka katika shughuli ya uteuzi wa makamamishena wa tume ya IEBC. Chama hicho kinachoongozwa na Raila Odinga kimetaja orodha hiyo, kama mojawapo…
Naibu wa rais Rigathi Gachagua sasa anadai kuwa viongozi wa muungano wa azimio la umoja ndio walioitisha mazungumzo na wala sio rais William Ruto. Akizungumza katika kaunti ya Kiambu, Gachagua ameeleza kuwa hawatokubali masharti ambayo viongozi wa azimio wanatoa ndiposa mazungumzo yafanyike.…
BY ISAYA BURUGU,6TH APRIL,2023-Uongozi wa shirika la michezo lililobuniwa na kampuni za maji hivi leo umemtembelea gavana wa Narok Patrick Ntuntu afisini mwake kumjuza kuhusu juhudi zake za ustawshaji michezo katika kaunti hii. Ukiongozwa na Peter Kamau,uongozi huo umesema kaunti ya Narok…
BY ISAYA BURUGU 6TH APRIL,2023-Rais Wiliam Ruto hivi leo ameongoza uzinduzi wa ujenzi wa bwawa la Mwache katika wadi ya Kasemeni katika kaunti ndogo ya kinango kaunti ya Kwale.Muradi huo wa kima cha shilingi milioni 20 unatarajiwa kupiga jeki juhudi za kuwepo…
Naibu Rais Rigathi Gachagua ameirai idara ya mahakama nchini kuangazia mabadiliko katika mfumo wa hukumu, na kuanzisha hukumu zitakazosaidia katika uhifadhi wa mazingira badala ya kifungo cha nje. Gachagua aliyekuwa akizungumza katika siku ya mwisho ya kongamano la idara ya mahakama barani…
Wabunge kutoka jamii za wafugaji wamekubali kuweka tofauti zao kando na kushirikiana na serikali ili kumaliza ukosefu wa usalama na migogoro inayohusiana na wizi wa mifugo katika eneo la Kaskazini mwa bonde la Ufa. Viongozi hao wametoa wito wa kusitishwa mapigano na…