Balozi wa Marekani humu nchini alaani mashambulizi dhidi ya wanahabari

BY ISAYA BURUGU,31ST MARCH,2023-Balozi wa marekani humu nchini  Meg Whitman amelaani  kushambuliwa kwa waandishi wa habari katika maandamano yanayofanyika kuipinga serikali nchini humo . Kupitia ujumbe wa Twitter balozi huyo amesema kulinda uhuru wa vyombo vya habari ni msingi wa deomokrasia .…

Maandamano ya upinzani yalemaza shughuli za kawaida, Upinzani ukisema hautakoma.

Viongozi wa upinzani nchini waliendeleza maandamano ya kushinikiza mabadiliko katika maeneo tofauti ya taifa kwa siku ya kutwa ya leo. Jijini Nairobi viongozi wa Muungano wa Azimio waliandamana na wafuasi wao katika mitaa mbalimbali, wakiendelea kutoa malalamishi yao na matakwa yao kwa…

Polisi wawakabili vijana waliovamia shamba la Kedong, Suswa Kaunti ya Narok.

Maafisa wa polisi kutoka kaunti ndogo ya Narok Mashariki, walifanikiwa kulikabili kundi la watu ambalo lilikua likitekeleza uhalifu na kuharibu mali katika shamba la Kedong mpakani mwa kaunti ndogo za Narok Mashariki na Naivasha. Taarifa zinaeleza kwamba maafisa hao waliokuwa katika shughuli…

Raila Odinga aongoza wafuasi wake katika maandamano ya kuipinga serikali jijini Nairobi.

Kiongozi wa muungano wa Azimio La Umoja One Kenya Raila Odinga hii leo ameongoza wafuasi katika maandamano ya kuipinga serikali katika eneo la Imara Daima jijini Nairobi. Odinga aliandamana na kinara mwenza wa Azimio Martha Karua, Kalonzo Musyoka wa Wiper Party pamoja…

Watu 14 wathibitishwa kufariki kufuatia ajali mbaya ya barabarani Naivasha.

Watu 14 wamethibitishwa kufariki kufuatia ajali mbaya ya barabarani katika barabara kuu ya Nakuru-Naivasha iliyohusisha basi la Chuo Kikuu cha Pwani na matatu ya abiria. Kulingana na ripoti, basi hilo lilikuwa likiwasafirisha takriban watu 30, miongoni mwao wanafunzi na walimu, kuelekea mashindano…

Rais Ruto arejea nchini baada ya ziara ya siku nne nchini Ujerumani na Ubelgiji

BY ISAYA BURUGU,30TH MARCH,2023-Rais  William Ruto amerejea nchini  baada ya ziara ya siku nnne nchini Ujerumaini na Ubelgiji.Rais aliondoka nchini Jumapili.Ndege iliyomeba rais na ujumbe wake imetua katika uwanja wa ndege wa jomo Kenyatta  jijini Nairobi ambapo amepokelewa  na naibu rais Rigatthi…

Polisi walinda doria kwenye miji mbali mbali mikuu nchini huku Mandamano ya Azimio yakiingia awamu ya tatu leo

BY ISAYA BURUGU 30TH MARCH,2023-Makabiliano kati ya polisi na wandamanaji yameshuhudiwa katika eneo la Mathare number 10 mapema leo  katika siku ya pili ya mandamano ya mungano wa Azimio la Umoja juma hili.Mandamano ya leo yameashiria raundi ya tatu ya mandamano ya…

Gavana Nyong’o na Sakaja wajibizana kuhusu maandamano ya Kupinga serikali.

Majibizano yamezuka kati ya gavana wa kaunti ya Nairobi Johnson Sakaja na mwenzake wa Kisumu Prof. Anyang’ Nyong’o kuhusu kuandaliwa kwa maandamano katika kaunti hizo mbili. Katika taarifa yake mapema leo, Gavana Nyong’o alitangaza kuwa kaunti hiyo haitaandaa maandamano mengine ya kupinga…