Picha za wagombwa wa wadhifa wa Msajili mkuu wa mahakama

JSC Yachapisha Majina ya 7 Wanaowania Wadhifa wa Msajili Mkuu wa Mahakama.

Tume ya Huduma za Mahakama (JSC) imetangaza majina ya wagombea saba wanaowania wadhifa wa Msajili Mkuu wa Mahakama. Nafasi hiyo ilikuwa wazi baada ya Bi. Ann Amadi kuondoka mwezi jana baada yake kumaliza muhula wake wa miaka 10. Kulingana na taarifa iliyotolewa…

Wabunge wajadili mauaji ya wanawake

Wabunge Wajadili Mauaji ya Wanawake, Wakitoa Wito wa Sheria Kali Zaidi

Wabunge katika bunge la kitaifa alasiri ya leo walijadili suala la mauaji ya wanawake ambalo limekuwa likigonga vichwa vya habari kwa majuma kadhaa sasa. Viongozi hao wameeleza kutamaushwa na ongezeko la mauaji haya na kutoa mapendekezo ya kuweka sheria kali zaidi kwa…

Askofu wa jimbo katoliki la Ngong’ John Oballa Owaa azindua kampeni ya kipindi cha kwaresma ya jimbo.

Askofu wa jimbo katoliki la Ngong’ John Oballa Owaa hii leo amezindua rasmi kampeni ya kipindi cha kwaresma ya jimbo katika kathedrali ya Mt. Yosefu mjini Ngong’. Askofu Oballa akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni hii, amewahimiza wakristu kuzingatia haki za watu…

Kelvin Kiptum Afariki Katika Ajali

RIP Kelvin Kiptum : Viongozi na Wakenya Waendelea Kumwomboleza Bingwa wa Dunia.

Jumbe za rambirambi zinaendelea kutolewa na viongozi mbalimbali nchini, kufuatia kifo cha ghafla cha mwanariadha Kelvin Kiptum akiwa na umri wa miaka 24. Kiptum alikuwa mshikilizi wa rekodi ya dunia katika mbio za Marathon. Mwanamichezo huyo pamoja na mkufunzi wake kutoka Rwanda…

Joseph Irungu maarufu Jowie apatikana na hatia ya kumuua Monica Kimani.

Mwanahabari Jackie Maribe amepata afueni baada ya mahakama kumondolea mashtaka ya mauaji yaliyokuwa yakimkabili huku mshtakiwa mwenzake Joseph Irungu maarufu Jowie akipatikana na hatia ya kuhusika na mauaji ya mfanyabiashara Monica Kimani mnamo mwaka wa 2018. Jaji Grace Nzioka akisoma hukumu hiyo…

Kampeni ya Kwaresma yazinduliwa rasmi leo katika jimbo katoliki la Embu.

Askofu wa jimbo katoliki la Ngong na ambaye pia ni mwenyekiti wa kitaifa wa tume ya Amani na haki katika Kanisa katoliki askofu John Oballa Owaa,hii leo amezindua rasmi kampeni ya kwaresma itakayoendelea kwa siku arubaini kuanzia tarehe 14 mwezi huu. Akizungumza…

Rais Ruto akutana na Waziri Mkuu wa Japan Fumio Kishida

Kenya Kufaidi na Shilingi Bilioni 350 Kufuatia Ziara ya Rais Ruto Nchini Japan.

Taifa la Kenya limevuna pakubwa kufuatia ziara ya rais William Ruto, katika taifa la Japan, ambapo mataifa haya mawili yamesaini makubaliano ya kifedha yenye thamani ya shilingi bilioni 350. Rais Ruto na Waziri Mkuu wa Japan Fumio Kushida katika kikao cha pamoja…

Taasisi ya utafiti TIFA yatoa ripoti ya utafiti kuhusu utendakazi wa mawaziri nchini.

Taasisi ya utafiti TIFA hii leo imetoa ripoti ya utafiti kuhusu utendakazi na safari za nje ya nchi za mawaziri nchini. Kwenye ripoti hiyo, waziri wa Utalii na Alfred Mutua ameorodheshwa kama Waziri aliyesafiri zaidi katika mataifa ya kigeni lakini hafanyi kazi…