Shirika la Amnesty international lawataka wakaazi wa Kibra kuungana kujenga makanisa yaliyoharibiwa na wahuni,polisi wakilaumiwa kwa kutoajibika

BY ISAYA BURUGU,28TH MARCH,2023-Shirika la kutetea haki za kibinadamu umu nchini Amnesty International limekashfu uvamizi na uharibifu wa mali ulioshuhudiwa katika mtaa wa kibra jijini Nairobi.Kupitia mkurugenzi wake mkuu Haningtone Irungu amewalaumu maafisa wa polisi kwa kutazama bila kufanya chochote wakati uvamizi…

Viongozi wakidini watoa wito wa mazungumzo baina ya rais Ruto na Odinga ili kutatua mkwamo ulioko nchini

BY ISAYA BURUGU,28TH MARCH,2023- Hali ya taharuki imesalia  kutanda katika mtaa wa kibra jijini Naiobi baada ya wakaazi kuamka na kukadiria hasara iliyowakuma kufuatia maandamano ya kupinga serikali yaliyofanyika hiyo jana.Makumi ya watu wameonekana  wakichukura kwenye vifusi  ili kujaribu kukoa  kilichoachwa na…

Viongozi wa Upinzani waongoza maandamamo Jumatatu ya pili.

Maelfu ya wananchi katika maeneo mbalimbali wamejitokeza kutwa ya leo kushiriki katika maandamano yaliyoandaliwa na muungano wa Azimio la Umoja, kupinga serikali ya Rais William Ruto. Jijiji Nairobi, waandamanaji walihusika katika makabiliano na maafisa wa polisi kwa kutumia mawe, huku polisi wakitumia…

Kenya na Ujerumani kuimarisha uhusiano wa kibiashara.

Mataifa ya Kenya na Ujerumani yamekubaliana kuweka kipaumbele mikakati ya kuondoa vizuizi visivyo vya ushuru kati ya mataifa haya mawili ili kukuza biashara. Hatua hiyo inadhamiria kupunguza gharama za biashara na kurahisisha usafirishaji wa bidhaa na huduma kati ya mataifa haya. Rais…

Kampuni ya kinara wa azimio Raila Odinga yavamiwa na watu wasiojulikana.

Kiongozi wa muungano wa Azimio La Umoja One Kenya Raila Odinga Jumatatu alasiri alijitokeza katika eneo la Kawangware jijini Nairobi kuanzisha maandamano ya pili dhidi ya serikali. Odinga alikuwa ameandamana na kinara mwenza Martha Karua, kiongozi wa Wiper Kalonzo Musyoka na kiongozi…

Wakaazi wa transmara Magharibi watakiwa kuwa wangalifu na kutovuka mito iliyofurika wakati huu wa mvua

BY ISAYA BURUGU 27TH MARCH,2023-Wito umetolewa kwa wakazi wa Trasmara magharibi kuwa wangalifu kufuatia mvua kubwa inayoendelea kushudiwa eneo hilo. Akizungumza eneo la Shangoi Trasmara magharibi Muhamed Nur amesema wakazi wawe macho hasa wanapofunga mto ili kusuia maafa. Naibu kamishana huyo amesema…

Polisi wafyatua vitoa machozi kuwatawanya wandamanaji Azimio katika miji mbali mbali

BY ISAYA BURUGU 27TH MARCH,2023-Usalama umeimarishwa sehemu mbali mbali  jijini Nairobi siku ambayo  Azimio unandaa mandamano.Polisi walianza kuwekwa katika maeneo mbalimbali mwendo wa usiku wa manane huku maafisa wakati fulani wakiweka vizuizi vya barabarani kukagua magari yanayotumia barabara.SHughuli za uchukuzi pia zimetatizika…

Serikali yaahidi kupeleka maendeleo katika ukanda wa Nyanza.

Rais William Ruto na naibu wake Rigathi Gachagua, wamesema kwamba ukanda wa Nyanza hautaachwa nyuma katika maswala ya maendeleo. Rais ambaye alikua akizungumza katika eneo la Uriri kaunti ya Migori, katika ziara ya kuzindua miradi ya Maendeleo, alisema kwamba miradi kadhaa iko…