Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai DCI imeomba radhi baada ya kukashifiwa kwa kutumia picha zisizo sahihi kuonyesha watu wanaokisiwa kuleta fujo wakati wa maandamano ya siku ya Jumatatu. Aidha DCI imesukuma sehemu ya lawama kwa wananchi, ikisema, mkanganyiko huo ulitokana…
Visa vya kipindupindu vilivyoripotiwa nchini sasa vinafikia 7,570, kutoka 6,391 kufikia Machi 7, data ya hivi karibuni kutoka kwa Wizara ya Afya inaonyesha. Ripoti ya hali ya kila siku ya mlipuko wa kipindupindu inaonyesha kufikia Machi 23, vifo vya ugonjwa huo vilifikia…
BY ISAYA BURUGU,25TH MARCH,2023-Idara ya usalama kaunti ya Mombasa imewahakikishia waumini wa dini ya kislam kuwa usalama wao utaimarishwa vya kutosha wakati huu wa msimu wa mwezi mtukufu wa Ramadhani. Hata hivyo idara hiyo imewataka wakaazi kushirikiana kikamilifu na maafisa wa polisi…
Rais William Ruto kwa mara nyingine ameendeleza shutuma zake dhidi ya viongozi wa upinzani, akiwataka kumkabili moja kwa moja badala ya kuhitilafiana na Maisha ya wakenya wa kawaida. Akizungumza katika kaunti ya Kisii adhuhuri ya leo, rais amesema kwamba wakenya hawakumbwaga katika…
Huku Siku ya Kifua Kikuu ikiadhimishwa duniani kote, Shirika la Afya Duniani WHO limetangaza kupanua wigo wa Mpango wa Kimataifa wa Mkurugenzi Mkuu wa WHO kuhusu kifua kikuu katika kipindi cha miaka minne ijayo. Mpango huu bora unakusudiwa kusaidia maendeleo ya haraka…
Idara ya Upelelezi wa Jinai DCI imetoa picha za washukiwa wanaodaiwa kuhusika na fujo na ghasia zilizoshuhudiwa siku ya Jumatatu wakati wa maandamano ya kuipinga serikali yakiongozwa na muungano wa upinzani wa Azimio, na kuongeza kuwa msako unaendelea kuwatafuta watu hao. Kupitia…
BY ISAYA BURUGU,24TH MARCH,2023-Waumini wa dini yakislam wamehakikishiwa usalama wa kutosha eneo la Trasmara magharibi wakati huu ambapo waumini hao wameanza rasmi kipindi cha mwezi wa mfungo mtukufu wa Ramadhan.Hakikisho hilo limetolewa na naibu kaunti kamishna wa Trasmara magharibi Ali Hassan Nur.…
BY ISAYA BURUGU 24TH MARCH,2023-Watu watatu miongoni mwao maafisa wawili wa polisi na mfanyikazi mmoja wa halmashauri ya utozaji ushuru ncchini KRA wametoweka baada ya mashua walimokuwa wameabiri kuzama ziwa Victoria usiku wa kuamkia leo. Watatu hao sagenti Anderson Wendot ,kostabo wapolisi …