BY ISAYA BURUGU,22ND MARCH,2023-Hali ya hofu na majonzi imekumba kijiiji cha Nyamakoroto kata ndogo ya sungututa eneo bunge la kitutu Masaba kaunti ya Nyamira baada ya mtu na mkewe kupatikana wameuawa ndani ya nyumba yao. Edward Morema mwenye umri wa miaka 63…
BY ISAYA BURUGU,22ND MARCH,2023-Kenya imeungana na ulimwengu hivi leo kuadhimisha siku ya upatikanaji wamaji ambayo huadhimisha kila tarehe 22 mwezi Machi kila mwaka. Madhimisho haya yanandaliwa wakati sekta ya maji kote nchini inazidi kushudia changamoto mbali mbali zikiwemo, mabadiliko ya hali ya…
Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja amesema kuwa jiji kuu litashuhudia hasara kubwa ya mapata iwapo maandamano yaliyoandaliwa na muungano wa upinzani yataendelea. Sakaja aliyekuwa akizungumza mapema leo Jumanne, Machi 21 wakati wa uzinduzi wa wimbi la pili la Mpango wa Rapid Results…
Uongozi wa polisi nchini umelaani ghasia zisizo na msingi dhidi ya maafisa waliotumwa kudumisha sheria na utulivu wakati wa maandamano ya Jumatatu. Katika taarifa, Inspekta Jenerali wa Polisi Japhet Koome, huku akiwapongeza maafisa hao kwa kujitolea kwao katika kuhakikisha amani inakuwepo, amesema…
BY ISAYA BURUGU,21ST MARCH,2023-Kinara wa Azimio la Umoja Raila Odinga ametangaza kuwa mungano huo utandaa mandamano siku mbili kwa wiki kuaznia wiki ijayo.Kwenye mkutano na wandishi habari jijiini Nairobi hivi leo,Odinga aliyeandamana na kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka,Martha Karua wa Narc Kenya,…
Mamlaka Huru ya kutathmini utendakazi wa Polisi IPOA inachunguza visa viwili vya madai ya ukatili wa polisi vilivyotokea Kisumu na Nairobi wakati wa maandamano ya kuipinga serikali. Kulingana na taarifa iliyotolewa na mwenyekiti wa Mamlaka hiyo, Anne Makori, maafisa wa IPOA waliotumwa…
BY ISAYA BURUGU,21ST MARCH,2023-Kenya imeungana na ulimwengu hivi leo kuadhimisha siku ya upandaji miiti duniani wito ukitolewa kwa wakaazi wa Narok kupanda miti kwa wingi ili kupiga jeki juhudi za serikali kuafikia miti bilioni 15. Naibu gavana wa kaunti ya Narok Tamalinye…
BY ISAYA BURUGU,21ST MARCH,2023-Viongozi wa Kenya Kwanza wamekashfu mandamano ya hiyo jana yaliyoandaliwa na mungano wa Azimio la umoja .Katika kikao na wandishi habari viongozi hao wakiongozwa na gavana wa Embu Cicil MBarire wanasema kuwa mandamano hayo yaliyipelekea Kenya kupoteza mamilioni ya…