Gavana wa kaunti ya Kisumu Prof. Anyang’ Nyong’o amelaani vitendo vya uharibifu wa mali vilivyoshuhudiwa katika baadhi ya maeneo ya kaUnti hiyo, kufuatia maandamano yaliyoandaliwa ili kulalamikia ongezeko la gharama ya Maisha. Kupitia taarifa aliyochapisha jioni ya leo, Gavana Nyong’o ameeleza kusikitishwa…
Rais William Ruto amekariri kuwa atajikita kwenye katiba na sheria za taifa katika utendakazi wake, akieleza kwamba kutekeleza jambo lolote nje ya katiba kutalielekeza taifa katika njia isiyofaa. Akizungumza baada ya kuongoza hafla ya kuapishwa kwa wakili mkuu Shadrack Mose katika ikulu…
BY ISAYA BURUGU,20TH MARCH,2023-Mbunge wa Ugunja Opiyo Wandayi na seneta wa Kilifi Stewart Madzayo wamekamatwa jijini Nairobi katika mandamano ya Azimio yanayoendelea. Mandamano hayo yameandaliwa kupinga kupanda kwa gharama ya Maisha.Taarifa zasema kuwa wawili hao walikamatwa katika jumba la mikutano la KICC …
BY ISAYA BURUGU,20TH MARCH,2023-Usalama umeimarishwa katika sehemu mbali mbali nje na ndani ya jijini kuu Nairobi siku ambayo mungano wa Azimio la umoja umepanga kufanya mandamano.Uchunguzi uliyofanywa na Redio Osotua umebaini kuwa katika sehemu ambazo kwa kawaida ulinzi hua ni mkali katika…
Waziri wa kilimo nchini Mithika Linturi, amewarai wakulima walio na mahindi katika maghala yao kuuza mahindi hayo, ili kuepuka hasara ya kupungua kwa bei, mara serikali itakapoanza uagizaji wa mahindi kutoka katika mataifa ya nje. Akiwahutubia wenyeji wa eneo la Talek Narok…
Viongozi wa chama cha UDA wametangaza mipango ya kupinga maandamano ambayo yameratibiwa kufanyika siku ya jumatatu na kiongozi wa azimio la umoja Raila Odinga. Mojawapo wa mipango hiyo ni kuandamana hadi katika makaazi ya bw. Odinga atakapokuwa akiwaongoza wafuasi wake kuelekea katika…
BY ISAYA BURUGU,18TH MARCH,2023-Mwanamme wa miaka 39 ambaye ni baba wawatoto wanne anazuiliwa katika kituo cha polisi cha Njoro kaunti ya Nakuru baada ya kukamatwa akijaribu kumsaidia bintiye wa miaka 18 kuavya mimba. Mwaname huyo anadaiwa kuwa ndiye aliyempachika bintiye mimba yenyewe.Naibu…
Sehemu ya viongozi wa upinzani wameapa kutohudhuria maandamano yaliyoratibiwa na muungano wa Azimio siku ya Jumatatu. “Tunataka kusema kwa dhati kwamba hatutashiriki katika maandamano yaliyopangwa. Vile vile tunawasihi wapiga kura wetu kufanya vivyo hivyo. Tunawahimiza wale ambao watajiunga na maandamano hayo kurejea…