Rais Ruto amteua Caleb kositany kama mwenyekiti wa halmashauri ya viwanja vya ndege nchini

BY ISAYA BURUGU,17TH MARCH,2023-Rais William Ruto amemteua aliyekuwa mbunge wa Soy  Caleb Kositany kuwa mwenyekiti wa halmashauri ya bodi ya mamlaka ya viwanja ya ndege nhini. Kositany, ambaye ni rafiki wa karibu wa rais  Ruto, atashikilia wadhifa huo kwa muda wa miaka…

DCI wapiga hatua katika kutanzua kilichopelekea kifo cha Geoffrey Mwathi

BY ISAYA BURUGU,17TH MARCH,2023-Hatimaye wapelelezi wa jinai DCI, kitengo cha kuchunguza visa vya mauaji ya kinyumbani wametoa taarifa iliyokuwa imesubiriwa kwa hamu kuu na Wakenya kufuatia kifo chenye utata cha kijana Jeff Mwathi aliyefariki nyumbani kwa DJ Fatxo wiki chache zilizopita. DCI…

Vigogo walioanguka uchaguzi warejea Serikalini kupitia mlango wa Nyuma.

Rais William Ruto amewateua watu 50 katika nyadhifa za mawaziri waratibu (almaarufu CAS) katika wizara mbalimbali nchini, wanaotarajiwa kupigwa msasa na Bunge kabla ya kuidhinishwa kwa uteuzi wao. Miongoni mwa walioorodheshwa katika orodha hiyo ya Makatibu waratibu ni Pamoja na aliyekuwa gavana…

Wakaazi wa Narok watakiwa kutumia fursa ya sasa ambapo mvua inashuhudiwa kupanda mashamba yao

 BY ISAYA BURUGU,16TH MARCH,2023-Waakazi wa kaunti ya Narok wametakiwa kuchukua fursa ya mvua inayoshuhudiwa kwa sasa katika sehemu bali mbali katika kaunti hii kutayarisha mashamba yao na kupanda. Wito huu umetolewa na kaunti kamishna anayeondoka Isaac Msinde. Masinde amewataka wakulima hao kufika…

Wabunge wa Azimio wataja mambo 7 yanayowafanya kupanga mandamano ya Jumatatu

BY ISAYA BURUGU,16TH MARCH,2023-Kabla ya kuandaliwa  kwa mandamano yaliyopangwa jumatatu ijayo jijini Nairobi,wabunge wanaoegemea mungano wa Azimio bungeni wametoa orodha ya maswala yanayowakera  chini ya serikali ya Kenya Kwanza. Azimio chini ya uongozi wa kinara wake Raila Odinga  umekuwa ukiendesha  msururu wa…

WFP yapiga jeki mpango wa kutoa lishe kwa wakenya wanaohangaika na njaa.

Shirikia la chakula duniani WFP, limeupiga jeki mpango wa serikali wa kuwapa lishe mamilioni ya wakenya wanaokabiliwa na makali ya njaa katika maeneo tofauti ya taifa. Viongozi wa shirika hilo wakingozwa na mkurugrnzi wa WFP humu nchini Lauren Lantis, walitoa ahadi hii…

Tusitishwe! Rais Ruto aonya upinzani dhidi ya kuhutilafina na usalama wa Wakenya.

Rais William Ruto amesema kuwa hatakubali kutishwa kwa semi za maandamano zinazoenezwa na viongozi wa upinzani, akisema kwamba Taifa la Kenya linaongozwa na katiba na wala hakuna mkenya aliye na kibali cha kuwatisha wakenya wengine. Akizungumza katika ikulu ya Nairobi alipokutana na…

Wakaazi wa Narok watakiwa kufika huduma center mjini humo kuvichukua vitambulisho

 BY ISAYA BURUGU,15TH MARCH,2023-Meneja wa kituo cha huduma katika kaunti ya Narok Everlyne Katampoi amewataka wananchi wote ambao walituma maombi ya kupata vitambulisho kufika kituo hicho kuvichukuwa. Akiongea katika kituo hicho mjini Narok Bi. Katampoi amesema kwamba kufikia sasa tangu mwaka uliopita…