EACC yawaonya wahasibu kwenye kaunti dhidi ya ukiukaji utaratibu wa malipo

BY ISAYA BURUGU,15TH MARCH,2023-Tume ya maadili na kukabiliana ufisadi EACC  imewaonya  wahasibu wa kaunti   kuhusu matumizi yasiyofaa ya mfumo wa ulipaji fedha.Kwenye notisi kutoka kwa afisa mkuu mtendaji wa  tume hiyo Twalib Mbarak  amewaonya mahasibu hao  akiwagiza kuhakikisha kuwa  mifumo bora  itakayohakikisha …

Baadhi ya sehemu nyingi humu nchini zatarajiwa kushuhudia mvua.

Idara ya utabiri wa hali anga imeeleza kuwa baadhi ya sehemu nyingi humu nchini zitashuhudia mvua katika siku chache zijazo. Ripoti  iliyotolewa na idara hiyo ya hali ya anga inaonyesha kuwa mvua itashuhudiwa katika maeneo ya nyanda za mashariki ya juu na…

Eneo la Magharibi mwa Kenya laongoza kwa unywaji wa pombe haramu.

Eneo la Magharibi mwa Kenya linaongoza kwa unywaji wa pombe haramu nchini kote pamoja na pombe za kitamaduni. Haya ni kwa mujibu wa utafiti mpya wa Mamlaka ya Kitaifa ya Kampeni Dhidi ya Matumizi Mabaya ya Pombe na Madawa ya Kulevya NACADA…

Vyama vya CCM na CCK ni miongoni mwa vilivyojiunga na UDA

BY ISAYA BURUGU,14TH MARCH,2023-Katibu mkuu wa chama cha UDA Cleophas Malala amefichua vyama ambavyo tayari vimeamua kujiunga na UDA kuwa chama kimoja.Akizungumza na wandishi Habari,Malala amesema hatua hiyo inalenga kuhakikisha kuwa rais Wiliam Ruto anakuwa na wakati bora anapoongoza taiafa kuelekea katika…

Kenya na Italia zatia saini mikataba miwili mikuu ya ushirikiano

BY ISAYA BURUGU,14TH MARCH,2023-Rais wa Italia Sergio Mattarella HIVI LEO amekutana na rais Wiliam Ruto katika ikulu ya Nairobi.Rais Matarrela yuko humu nchini kwa ziara ya siku mbili.Katika mkutano kati ya viongozi hao wawili,mikataba miwili imetiwa Saini itakayowezesha Kenya na Italia kushirikiana…

Moody Awori autaka upinzani kuheshimu serikali

BY ISAYA BURUGU,13TH MARCH,2023-Aliyekuwa makamu wa rais wat isa nchini  Moody Awori  amewataka wanasiasa  kuachana na vita vya ubabe wa kivita  na kuunga mkono  utawala war ais  William Ruto ili uweze kutekeleza manifesto yake.Akizungumza baada ya mkuu wa mawaziri Musalia Mudavadi  kumtembelea…

Mizani ya haki:Washukiwa waliokamatwa kwa madai ya kuuza mechi waachiliwa kwa dhamana

 BY ISAYA BURUGU,13TH MARCH,2023-Mkenya mmoja na raia wawili wa kigeni waliokamatwa kwa madai ya kutoa hongo na kuuza mechi  wameshatakiwa leo mbele ya mahakama ya Makadara.Akhiad kubev,(raia wa Urusi), Benard Nabende(raia wa Uganda) na Martin Munga(raia wa Kenya) walishtakiwa kwa kula njama…

Hatutakoma kupigania haki zetu,asema Odinga huku Azimio ikitua Kilifi

BY  ISAYA BURUGU,13TH MARCH,2023-Kinara wa Azimio Raila Odinga na viongozi wengine wa mungano huo hivi leo wametua kaunti ya Kilifi kuendeleza wito kwa wafuasi wa mungano huo kushinikiza serikali kukabiliana na changamoto zinazokumba nchi.Akizungumza katika mkutano kule Mutwapa,Odinga ameshikilia msimamo wake kuwa…