Serikali yasema haitalegeza kamba katika vita dhidi ya wahalifu kaskazini mwa bonde la ufa.

Rais William Ruto ameagiza maafisa wa kijeshi kushirikiana na wizara ya elimu ili kujenga upya shule zilizoharibiwa na wahalifu kaskazini mwa bonde la ufa. Rais aliyasema haya kwenye hafla ya kufuzu kwa mahafala wa cadet wa kijeshi 330 katika shule ya kijeshi…

Ulipaji fidia: Kamati ya bunge yandaa kikao na waziri wa ardhi

BY ISAYA BURUGU,10TH MARCH,2023-Kamati ya bunge kuhusu leba hivi le imeandaa kikao na Waziri wa ardhi ,katibu wa wizara hiyo Pamoja na tume ya ardhi humu nchini. Kikao hicho kinatazamiwa kutoa mwelekeo kuhusu uboreshwaji wa hati miliki kidigitali Pamoja na ulipaji fidia…

Waziri Kindiki amuagiza mkuu wa DCI Mohamed Amin kuchunguza kifo tatanishi cha Geffrey Mwathi

BY ISAYA BURUGU,10TH MARCH,2023-Waziri wa usalama wa ndani  Prof Kithure Kindiki  amemwagiza mkurugenzi mkuu wa upelelezi wa jinai Mohamed Amin kuharakisha uchunguzi kuhusu kilichopelekea kifo cha kutatanisha cha  Geoffrey Mwathi akiwa katika nyumba ya  mwanamuziki wa benga wa nyimbo za Agikuyu  DJ…

Bunduki 140 zarejeshwa eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa, operesheni ya usalama ikiingia awamu ya pili.

Zaidi ya bunduki 140 zilizokuwa zikimilikiwa kinyume cha sheria na raia wa maeneo la Kaskazini mwa bonde la Ufa, zimerejeshwa kwa maafisa wa usalama kufikia sasa. Waziri wa usalama wa ndani Kithure Kindiki aidha ametoa onyo kuwa muda wa kurejesha silaha hizo…

Odinga atangaza maandamano ya kupinga uongozi wa Rais Ruto Jumatatu ya tarehe 20 Machi.

Kinara wa muungano wa Azimio la Umoja Raila Odinga ametangaza kuwa muungano huo utawaongoza wafuasi wake katika maandamano ya kitaifa, ili kuishinikiza serikali kushughulikia ongezeko la gharama ya Maisha Pamoja na kuondoa ushuru wa juu unaowaumiza wananchi wa kawaida. Akizungumza Akizungumza jijini…

Mahakama kuu yaongeza muda wa amri ya kuwazuia polisi kumhoji wakili Danstan Omari.

Mahakama kuu imeongeza muda wa amri ya kuwazuia polisi kumhoji wakili Danstan Omari kwa madai ya kuvamiwa kwa nyumba ya aliyekuwa Waziri wa Usalama wa Ndani Fred Matiang’I. Mahakama iliamuru kesi hiyo itajwe Aprili 18 kwa mwelekeo zaidi baada ya pande zote…

Waziri wa elimu Ezekiel Machogu afika mbele ya seneti kuhusu mstakabali wa elimu nchini

BY ISAYA BURUGU 9TH MARCH,2023-Waziri wa elimu Ezekiel Machogu hivi leo amefika mbele ya kamati ya elimu ya Seneti kuzungumzia mstakabali wa elimu nchini. Waziri ametakiwa kutoa mwanga Zaidi kuhusu   Elimu ya sekondari msingi na sekondari kwa ujumla baada ya  washika dau…

Mudavadi awataka wakenya kuwa na subira huku serikali ikijizatiti kukwamua uchumi

BY ISAYA BURUGU,9TH  MARCH 2023-Mkuu wa mawaziri Musalia Mudavadi amewataka wananchi kusalia watulivu na  kuipa serikali ya Kenya kwanza muda wa kutosha kurekebisha hali ya kiuchumi nchini.Akizungumza kwenye mkutano wa mazungumzo na wananchi jijini Nairobi,Mudavadi amesema kuwa Hapana suluhisho la haraka kwa…