Waziri wa Utalii Alfred Mutua

Serikali Inahitaji Bilioni 7 Kuwafidia Waathiriwa wa Migogoro kati ya Binadamu na Wanyamapori – Waziri Mutua

Waziri wa Utalii Alfred Mutua ameeleza kuwa serikali ya kitaifa inahitaji kiasi cha shilingi bilioni 7 kwa ajili ya kulipa fidia kwa waathiriwa wa migogoro kati ya binadamu na wanyamapori. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa zoezi la usajili wa vijana katika Huduma…

Ukarabati wa Barabara Narok

Serikali ya Narok Yafanikisha Ukarabati wa Kilomita 42 za Barabara Mjini Narok.

Serikali ya Kaunti ya Narok imetangaza mafanikio katika ukarabati wa barabara mjini Narok, huku jumla ya kilomita 42 zilkiwa zimekarabatiwa. Hatua hii inalenga kupunguza changamoto njia mbovu ambazo zimekuwa tatizo kubwa katika maeneo mengi ya mji wa Narok. Waziri wa Barabara katika…

Jaji Fatuma Sichale Aapishwa Kuiwakilisha Mahakama ya Rufaa katika Tume ya JSC.

Jaji Fatuma Sichale Aapishwa Kuiwakilisha Mahakama ya Rufaa katika Tume ya JSC.

Jaji Fatuma Sichale wa Mahakama ya Rufaa ameapishwa kuwa mwakilishi wa mahakama hiyo katika Tume ya Huduma za Mahakama (JSC). Hafla hiyo ya kuapishwa iliandaliwa katika majengo ya mahakama ya upeo nchini na kuhudhuriwa na viongozi wakuu wa mahakama nchini. Jaji huyo…

OMBI LA KUMWONDOA MARTHA KOOME

Ombi la Kumwondoa Jaji Mkuu Martha Koome Ofisini Lawasilishwa kwa JSC.

Mzozo unaoshuhudiwa kati ya idara ya mahakama na viongozi wakuu serikalini umechukua mkondo tofauti baada ya kuwasilishwa kwa ombi la kutaka kuondolewa ofisini kwa Jaji Mkuu Martha Koome. Ombi hilo limepelekwa kwa Tume ya Huduma za Mahakama (JSC) na Michael Kojo Otieno,…

Waziri wa ulinzi Aden Duale azindua hazina ya operesheni za Amani.

Waziri wa ulinzi Aden Duale hii leo amezindua hazina ya operesheni za Amani itakayoiwezesha serikali kuwatuma wanajeshi kwenye oparesheni za Amani nchini na kimataifa. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo katika kambi ya kahawa Garrison, Duale amesema kuwa hazina hiyo pia itawawezesha wanajeshi…

Kanisa lake mchungaji Paul Mackenzie lachapishwa kama kikundi cha uhalifu.

Waziri wa Mambo ya Ndani na Utawala wa Kitaifa Kithure Kindiki Jumatano alitangaza Kanisa la Good News International Ministries lake mchungaji Paul Mackenzie kuwa kikundi cha uhalifu. Waziri huyo alisema alichukua uamuzi huo katika kutekeleza mamlaka aliyopewa na Kifungu cha 22 cha…

Wizara ya Afya yatoa tahadhari kwa umma kuhusu kuenea kwa ugonjwa wa macho mekundu.

Wizara ya Afya imetoa tahadhari ya afya ya umma kuhusu kuenea kwa ugonjwa wa macho wa Conjunctivitis. Huku akihamasisha umma kuhusu mkurupuko huo, Mkurugenzi Mkuu katika wizara ya Afya, Patrick Amoth alisema ugonjwa huo umekithiri katika eneo la Pwani haswa Malindi, Lamu…

Papa Francis Padre John Njue Njeru Kuwa Msimamizi wa Kitume wa Jeshi la Kenya

Papa Francis amteua Padre John Njue Njeru kama msimamizi wa Kitume wa Jeshi.

Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, amemteua Luteni Kanali Padre (Monsignor) Mons. John Njue Njeru kama Msimamizi wa Kitume wa idara ya jeshi nchini Kenya. Taarifa ya uteuzi huu ilitangazwa siku ya Jumanne, Januari 30 na Baraza la Maaskofu wa kikatoliki…