Kenta avunja kimya kuhusu sheria mpya za usimamizi wa Mbuga ya Maasai Mara.

Aliyekuwa mbunge wa Narok Kaskazini Moitalel Ole Kenta, hatimaye amevunja kimya chake kuhusiana na sheria mpya za usimamizi wa Mbuga ya Maasai mara, akisema kwamba uamuzi wa kutaka kuleta usimamizi mpya ni mpango unaonuia kuwafaidi wachache na wala sio kwa manufaa ya…

Idadi kubwa ya wanafunzi katika kaunti ya Narok wajiunga na shule za upili.

Idadi kubwa ya wanafunzi waliokamilisha darasa la nane mwaka jana katika kaunti hii ya Narok wamejiunga na shule za upili. Haya ni kwa mujibu wa kaunti kamisha wa Narok Isaac Masinde. Akizungumza mjini Narok Bw. Masinde amesema tayari asilimia 80 ya wanafunzi…

Mwanamke mmoja azuiliwa na polisi Homabay kwa tuhuma za kumua mwanawe

 BY ISAYA BURUGU,23RD FEB,2023-Maafisa wa polisi kaunti ya  Homa Bay  wanamzuilia  mwanamke wa miaka 23 anayetuhumiwa  kumu ana kutupa mwili wa mtoto wake mchanga  baada ya kumzaa nyumbani mwake katika mtaa wa Makongeni  mjini Homa Bay. Mwanamke  huyo alikamatwa baada ya wakaazi…

Visa vya mimba za mapema vyaripotiwa kupungua kiasi Narok wito ukitolewa kwa juhudi zaidi

BY ISAYA BURUGU 23RD FEB,2023-Waziri wa Elimu katika serikali ya kaunti ya Narok Rotich Simotwo ametoa wito wakukomesha kabisa maswala ya ukeketaji na ndoa za mapema kaunti ya Narok. kwenye mahojiano ya kipekee na wandishi wa habari wakituo hiki ofisini mwake,Simotwo amesema…

Mvua ya mwezi Machi na May mwaka huu haitafikia kiwango kinachohitajika.

Mvua inayotarajiwa kunyesha kati ya mwezi Machi na May mwaka huu haitafikia kiwango kinachohitajika ili kuokoa athari za kiangazi zinazoendelea kushuhudiwa humu nchini. Wanasayansi na watabiri wa hali ya hewa wameeleza kuwa mvua hiyo inatarajiwa kuwa chini ya milimita 400. Kwenye kikao…

Mungano wa Azimio waitaka serikali kuregesha ruzuku yakiuchumi ili kupunguza gharama yakimaisha

BY ISAYA BURUGU,22ND FEB,2023-Mungano wa Azimio la umoja umeandaa  maombi yakitaifa katika bustani ya Jevanjee jijini Nairobi.Kwa mjibu wa viongozi wa mungano huo, maombi hayo yanalenga kumsihi muungu kuinglia kati  masaibu yanayowakumba wakenya yakiwemo gharama ya juu ya kimaisha na kiangazi.Hafla hiyo…

Waumini wakatoliki nchini wajiunga na wenzao kote ulimwenguni kuanza msimu wa kusali na Kuomba kwa siku 40

BY ISAYA BURUGU 22ND FEB,2023-Waumini wa kanisa katoliki kote duniani hivi leo wameanza kipindi cha siku 40 cha mfungo na maombi. Kipindi hiki huanza siku ya jumatano ya majivu ambapo waumini haswa wakristu hudhuria ibaada ya misa na kupakwa majivu ili kukumbushwa…

Shoka la Azimio kwa Fatuma Dullo lapigwa breki na Mahakama.

Mahakama ya kutatua migogoro ya maswala ya kisiasa nchini imesitisha uamuzi wa kubanduliwa kwa seneta wa kaunti ya Isiolo Fatuma Dullo kama mnadhimu wa walio wachache katika bunge la seneti. Naibu Spika wa Bunge hilo Kathuri Murungi, ameeleza kwamba amepokea tangazo kutoka…