KDF kuongoza ujenzi wa uwanja wa Moi utakaoandaa maadhimisho ya Madaraka.

Kikosi cha wanajeshi wa KDF kinatarajiwa kuongoza shughuli za ujenzi wa uga wa Moi katika kaunti ya Embu, katika juhudi za kuharalkisha mchakato wa matayarisho kwa ajili ya sherehe za Maadhimisho ya siku ya Madaraka tarehe mosi mwezi Juni mwaka huu. Makatibu…

Idara ya DCI yamamuru wakili Danstan Omari kufika kwenye makao makuu ya idara hiyo.

Idara ya Upelelezi wa Jinai DCI imemuamuru wakili Danstan Omari kufika kwenye makao makuu ya idara hiyo na kuandikisha taarifa kuhusiana na tuhuma za uvamizi wa polisi katika nyumba ya aliyekuwa Waziri wa Usalama wa Ndani Fred Matiang’i. Katika barua iliyoandikwa Februari…

Rais Wiliam Ruto atoa wito kwa EU kuharakisha utayarishaji mikataba ya maelewano na nchi za EAC

BY ISAYA BURUGU,21ST FEB,2023-Rais William Ruto ametoa wito kwa mungano wa ulaya  kutamatisha makubaliano kadhaa ya kiuchumi kati yake na jumuia ya nchi za afrika mashariki  ili kuiwezesha Kenya kupanua uwezo wake wa uzaji bidhaa zake nje ya nchi. Rais amesema hayoleo…

Mahakama yairisha uamuzi kuhusu kesi ya mauaji dhidi ya Maxine Wahome

BY ISAYA BURUGU 21ST FEB,2023-Mahakama kuu imeairisha utoaji umauzi  kuhusu iwapo au la  faili a kesi dhidi ya mwendesha maagari ya mashindano yaani rali Maxine Wahome itafungwa kwenye kesi inayohusu mauaji ya mpenziwe Assad Khan. Mwendesha Rally Maxine Wahome katika mahakama ya…

Mahakama ya juu yasitisha uteuzi wa maafisa 4 walioteuliwa na Rais Ruto.

Mahakama ya juu nchini Imewazuia wakenya wanne walioteuliwa na Rais William Ruto katika Baraza la Kitaifa la Mabadiliko ya Tabianchi (NCCC) dhidi ya kutwaa wadhifa huo, hadi pale kesi iliyowasilishwa dhidi yao itakapoamuliwa. Jaji Mugure Thande mapema leo alitoa Maagizo ya kusitisha…

Kamishna wa IEBC Irene Masit asema hakuwa na hatia ila alikuwa akifuata maagizo.

Kamishna wa tume huru ya uchaguzi na mipika nchini IEBC aliyesimamishwa kazi Irene Masit hivi leo amehudhuria kikao cha mwisho cha kujitetea mbele ya jopokazi lililobuniwa na rais Wiliam Ruto kuchunguza matukio yaliyojiri tarehe 15 mwezi Agosti mwaka jana wakati wa kutangazwa…

Kamishana Isaac Masinde awataka wanafunzi kufanya bidii kwenye masomo yao.

Kamishana wa kaunti ya Narok Isaac Masinde amewataka wanafunzi kufanya bidii kwenye masomo yao na kuwatii walimu pamoja na wazazi wao. Akizungumza alipokuwa akipokea ufadhili kutoka kwa wakfu wa Jomo Kenyatta Masinde amesema wanafunzi wapatao 67 kutoka kaunti hii ya Narok wamenufaika…

Mwalimu ajitoa uhai kwa kujirusha Kidimbwini Nyamira

BY ISAYA BURUGU 20TH  FEB 2023-Biwi la simamzi limekumba eneo la ting’a Eneo bunge la mugirango magharibi kaunti ya Nyamira baada ya mwalimu mmoja kujiua kutokana na madai ya kulaghaiwa shilingi milioni moja unusu. Josec Ondere mwenye umri wa miaka 38 alikuwa…