Wezi wa mifugo Transmara magharibi waonywa kuwa chuma chao kimotoni

BY ISAYA BURUGU,20TH FEB,2023-Wezi wa mifugo eneo la Olmelil Trasmara magharibi wameonywa kuwa chuma chao kimotoni.Akiwahutubia wenyeji wa Olmelil katika mipaka ya kaunti ya Narok na kaunti ya Nyamira chifu wa eneo la Kapune Emmanuel Nakuso amesema serikali haitawasaza wanaojihusisha na wizi…

NCCK yaorosheshwa kuwaniaji tuzo la Amani la Nobel 2023

Baraza la kitaifa la makanisha humu nchini NCCK limeorodheshwa kama mojawapo ya mashirika mbalimbali yaliyoteuliwa ili kutwaa tuzo la Kimataifa la Nobel Peace Prize, kufuatia mchango wake katika kuhamasisha amani wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka jana. Baraza hilo lilikuwa baadhi ya…

Naibu Rais awakemea maafisa wa polisi waliofurusha karibu familia 105 Nakuru.

Naibu Rais Rigathi Gachagua amekemea Huduma ya Kitaifa ya Polisi kwa kuendeleza shuguli za kufurushwa kwa karibu familia 105 kutoka kwa kipande cha ardhi ambacho walikuwa wamekimiliki kinyume cha sheria katika kijiji cha Kiriko, Rongai, Kaunti ya Nakuru. Akizungumza mjini Nakuru alipoongoza…

Azimio watua Kisumu,shinikizo dhidi ya serikali likiendelea

BY ISAYA BURUGU,18TH FEB,2023-Kinara wa Azimio la umoja Raila Odinga hivi leo amelekeza ujumbe wa kuirai serikali kutekeleza haki kufuatia matokeo ya urais ya uchaguzi uliyopita katika kaunti ya Kisumu. Odinga anandamana na kati ya wengine,kinara wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka,mwenzake…

Mwanasoka wa Ghana Christian Atsu apatikana amefariki chini ya vifusi vya nyumba yake nchini Uturuki

BY ISAYA BURUGU 18TH FEB,2023-Mwanasoka wa Ghana Christian Atsu amepatikana amefariki chini ya vifusi vya nyumba yake nchini Uturuki takriban wiki mbili baada ya tetemeko la ardhi kukumba nchi hiyo na kusababisha majumba mengi kuporomoka. Ajenti wa mchezaji huyo, Murat Uzunmehmet amethibitisha…

Kampeni ya kipindi cha Kwaresima 2023 yazinduliwa rasmi.

Viongozi wa kanisa katoliki kutoka majimbo tofauti nchini, walikongamana katika jimbo katoliki la Kakamega mchana wa leo, ili kuhudhuria hafla ya kitaifa ya uzinduzi wa kipindi cha Kwaresima mwaka wa 2023. Kampeni ya mwaka huu kwa mujibu idara ya haki na amani…

Rais William Ruto ahudhuria kongamano la 36 la muungano wa marais wa Afrika.

Rais William Ruto adhuhuri ya leo aliwasili mjini Addis Ababa nchini Ethiopia kuhudhuria kongamano la 36 la marais wa muungano wa bara la Afrika. Rais Ruto amejumuika na marais wa mataifa mbalimbali barani Afrika pamoja na viongozi wa serikali kuzungumzia mbinu za…

Kinara wa Azimio la Umoja Raila Odinga aahidi kuendeleza shinikizo dhidi ya serikali,huku wakizuru Kisii

BY ISAYA BURUGU 17TH FEB,2023-Kinara wa Azimio la umoja Raila Odinga na viongozi wengine wamefika kaunti ya Kisii leo kwa ziara ya kukutana na wananchi. Odinga ameandamana na kinara wa wiper Kalonzo Musyoka, katibu wa chama cha Jubilee Jeremiah Kioni ,kinara wa…