Afisa wa polisi adungwa kisu na kufariki Laikipia katika msako dhidi ya pombe haramu

BY ISAYA BURUGU  17TH FEB,2023-Afisa mmoja wa polisi wa cheo cha juu medungwa  kisu hadi kufa usiku wa kuamkia leo  kwenye kituo cha kuuzia changáa katika eneo la Rumuruti, Kaunti ya Laikipia.Naibu Afisa Mkuu wa Kituo cha Rumuruti, Prosper Wandera alikuwa amepewa…

Bajeti ya kitaifa ya mwaka wa kifedha 2023/24 kufikia shilingi Trilioni 3.6

Bajeti ya taifa ya mwaka ujao wa kifedha inatarajiwa kuongezeka kwa shiling bilioni 251, na kufikia shilingi trilioni 3.6, kwa mujibu wa Nakala rasimu ya bajeti hiyo iliyotolewa, kabla ya kusomwa kwa bajeti ya taifa mwanzoni mwa kipindi kijacho cha fedha kuanzia…

Kaunti ya Narok kushuhudia ukame hadi mwishoni mwa mwezi Februari.

Wananchi katika kaunti ya Narok wataendelea kushuhudia vipindi vya ukame katika kipindi kilichosalia cha mwezi huu wa Februari, kabla ya kuanza kwa mvua fupi mwezi ujao. Mkurugenzi mkuu wa idara ya utabiri wa hali ya hewa katika kaunti ya Narok Bw. Peter…

Mahakama ya Ajira na leba yatupilia mbali kesi ya kupinga uteuzi wa makatibu waratibu.

Mahakama ya Ajira na leba imetupilia mbali kesi ya kupinga uteuzi wa makatibu waratibu wa wizara mbalimbali. Ombi hilo liliwasilishwa na Chama cha Wanasheria nchini LSK, kwa misingi ya kutoshirikishwa ipasavyo kwa umma na Tume ya Utumishi wa Umma PSC na kwamba…

Fanyeni bidii Masomoni,wanafunzi Narok kusini waambiwa

BY  ISAYA BURUGU ,16TH FEB,2023-Wito umetolewa kwa Wanafunzi katika shule mbali mbali eneo la Narok Kusini kujitahidi na kuanya bidi katika masomo yao ili waweze kuandikisha matokeo bora.Wito huu umetolewa na mkurugenzi wa elimu eneo la Narok kusini Sankale Ole Sendero .…

Papa Francis ainua Vikariate ya Isiolo kuwa Jimbo.

Kanisa katoliki nchini lmepata jimbo mpya hivi leo, na hii ni baada ya Kiongozi wa kanisa katoliki nchini Papa Francis kuinua hadhi ya Vikariate (Vicarate) ya Kitume ya Isiolo kuwa jimbo katoliki la Isiolo. Katika tangazo lililochapishwa kwenye mtandao wa kikatoliki wa…

Papa Francis amteua padre Cleophas Oseso kama Askofu mpya wa Jimbo Katoliki la Nakuru.

Papa Mtakatifu Francisko amemteua padre Cleophas Oseso Tuka, kama Askofu mpya wa Jimbo Katoliki la Nakuru. Taarifa za Uteuzi wa padre Oseso zilichapishwa rasmi katika gazeti la Vatican la L’Osservatore Romano mnamo tarehe 15 Februari 2023 saa 12.00 adhuhuri kwa saa za…

Uhuru Kuongoza ujumbe wawangalizi wa uchaguzi wa AU nchini Nigeria

BY ISAYA BURUGU 15TH FEB 2023-Rais mstaafu Uhuru Kenyatta ameteuliwa kuongoza ujumbe wa wanachama 90  kutoka mungano wa Afrika wataokuwa wangalizi wa uchaguzi mkuu nchini Nigeria. Uchaguzi huo unaratibiwa  kufanyika tarehe 25 mwezi huu.Kupitia taarifa Au imesema Kenyatta ataongoza ujumbe huo wa…