Aliyekuwa waziri wa Elimu marehemu prof. George Magoha azikwa nyumbani kwake.

Watu kutoka pembe zote za dunia walikongamana hii leo katika chuo kikuu cha Maseno tawi la Yala kumpa mkono wa buriani aliyekuwa waziri wa Elimu Prof. George Magoha ambaye amezikwa nyumbani kwake katika kijiji cha Umiru. Familia ya Magoha wakiongozwa na mkewe…

Visa vya ndoa na mimba za mapema vyaendelea kushuhudiwa narok wazazi wakilaumiwa

BY ISAYA BURUGU,11TH FEB,2023-Visa vya ndoa na mimba za mapema vinaendelea kushuhudiwa katika maeneo ya mashinani Kaunti ya  Narok kutokana na wazazi wa watoto wanaodhulumiwa kuungana na wale ambao wanatekeleza maovu hayo kwenye jamii. Haya ni kwa mujibu wa kamishna wa Narok…

Nick Salat atemwa na chama cha KANU

Chama cha KANU kimetangaza kuwa kimeamtimu aliyekuwa katibu mkuu wa chama hicho Nick Salat kutoka kwa wadhifa huo, kwa kile kilichotajwa kama kukiuka mwongozo wa maadili ya chama. Katika waraka uliochapishwa na chama cha KANU kupitia mkurugenzi wa mawasiliano katika chama hicho…

Rais William Ruto ajitolea kutoa pesa kwa wakati kwa serikali za kaunti.

Rais William Ruto amejitolea kutoa pesa kwa wakati kwa serikali za kaunti akidai kuwa hatua hiyo itaharakisha ukuaji wa ugatuzi na kurahisisha utoaji huduma. Akizungumza wakati wa Mkutano wa 9 wa Kitaifa na Uratibu wa Kaunti unaoendelea kule Naivasha kaunti ya Nakuru,rais…

Wanaosimamia miito kanisani wahimizwa kuwaelekeza vijana katika njia bora za kikristu.

Himizo limetolewa kwa wanaosimamia miito kanisani kuwaelekeza vijana katika njia bora za kikristu, ili wawe vielelezo bora katika jamii kadhalika kupata mapadre wengi kwenye siku za usoni. Akizungumza na idhaa hii baada ya kuwahutubia mapadre wa jimbo katoliki la Eldoret katika kituo…

Hazina ya NSSF yawataka waajiri kuheshimu agizo la mahakama kuongeza kiwango cha mchango wa kila mwezi kwa wafanyikazi wao

BY ISAYA BURUGU,10TH FEB,2023-Hazina ya kitaifa ya malipo ya uzeeni NSSF sasa inawataka waajiri kuheshimu mara moja agizo la mahakama linalowataka  kuongeza kiwango cha fedha wanazowatoza wafanyikazi wao  kuelekea kwenye hazina hiyo kila mwezi. Kupitia taarifa  iliyotolewa leo mwenyekiti wa hazina hiyo…

Wakulima 188,000 Narok kusajiliwa ili kunufaika na mbolea ya gharama nafuu.

BY ISAYA BURUGU,10TH FEB 2023-Serikali ya kaunti ya Narok kwa ushirikiano na serikali ya kitaifa inalenga kuwasajili wakulima wapatao 188,000  wakati wanasubiri kupokea  mbolea ya bei nafuu kutoka kwa serikali. Kamishna wa kaunti ya Narok Isaac Masinde akiwahutubia wenyeji wa Shangoi eneo…

Bishop John Oballa Owaa

Askofu Oballa arai wanafunzi kujiepusha na mahusiano ya jinsia Moja.

Askofu wa Jimbo katoliki la Ngong John Oballa Owaa, amewarai wanafunzi katika shule za upili, kujiepusha na mienendo ya ulimwengu wa sasa, inayowaelekeza katika mambo yanayomchukiza mwenyezi Mungu, na hasa mahusiano ya jinsia moja. Katika tafakari yake kwenye hafla ya kubariki Mnara…