Kenya itasimama pamoja na Uturuki na Syria kufuatia tetemeko kubwa la ardhi ambalo limesababisha vifo 5,000. 

Rais William Ruto amesema Kenya inasimama pamoja na Uturuki na Syria kufuatia tetemeko kubwa la ardhi ambalo liliporomosha majengo na kusababisha zaidi ya watu 5,000 kupoteza maisha  huku 20,000 wakijeruhiwa. Waokoaji wanaendelea kuwatafuta manusura kwenye vifusi vya maelfu ya majengo yaliyoporomoka kufuatia…

Baadhi ya viongozi wa Luo Nyanza wakutana na rais Wiliam Ruto ikulu

BY ISAYA BURUGU,7TH FEB,2023-Rais William Ruto hivi leo amekutana na  viongozi waliochaguliwa kutoka eneo pana la Luo Nyanza katika ikulu ya Nairobi, siku moja tu baada ya kigogo wa kutoka eneo hilo Raia Odinga akiendeleza kampeni zake za kutotambua uongozi wa Ruto…

MCA wa Korogocho aachiliwa kwa dhamana ya 100,000 katika kesi ya uchochezi.

Mwakilishiwadi wa wadi ya Kogrogocho katika kaunti ya Nairobi Absalom Odhiambo ameshtakiwa kwa kosa la kutoa matamshi ya uchochezi katika mkutano wa kisiasa ulioandaliwa na muungano wa Azimio la umoja tarehe 25 mwezi jana. Odhiambo ambaye aliwasilishwa mbele ya Hakimu Mkuu wa…

Waziri Jumwa aongoza maadhimisho ya siku ya kukabiliana na ukeketaji.

Waziri wa jinsia na utumishi wa umma Aisha Jumwa kutwa ya leo ameongoza maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya kukabiliana na Ukeketaji, kwenye hafla iliyoandaliwa katika eneo la Ntimaru kaunti ya Migori. Waziri Jumwa alikuwa miongoni mwa mamia ya wakaazi kutoka jamii…

Waziri wa usalama atoa ripoti ya utendakazi wake kwa siku mia moja tangu alipoingia ofisini.

Waziri wa usalama wa ndani Kithure Kindiki ametoa ripoti ya kwanza ya siku mia moja tangu alipoingia ofisini. Kwa mujibu wa Kindiki ni kwamba kwa siku mia moja, wizara ya usalama wa ndani imefanikiwa kukabiliana na visa vya uhalifu ambavyo vimekuwa vikishuhudiwa…

Wanafunzi wa kidato cha kwanza waripoti shuleni kuanza kalenda ya masomo mwaka huu

 BY ISAYA BURUGU 6TH FEB,2023-Zaidi ya wanafunzi 800,000 wa kidato cha 1 wameanza kujiunga na shule mbali mbali za upili kote nchini hivi leo.Ni wiki mabyo pia  walimu 30,000 walioajiriwa wanatarajiwa kuripoti mashuleni.Tume ya kuwajiri walimu nchini ilisema 10,000 kati ya walimu…

Serikali yapania kuagiza mbolea kutoka nchini Tanzania kuanzia julai mwaka huu.

Serikali inapania kuagiza mbolea kutoka nchini Tanzania kuanzia julai mwaka huu.Taasisi ya utafiti wa kilimo na mifugo KALRO imepatiwa jukumu la kukagua ubora wa mbolea hiyo. Kwa mujibu wa waziri wa kilimo Mithika Linturi ni kwamba hatua hiyo inapania kuwasilisha mbolea ya…

Mwili wa mwanamme aliyeanguka mto Nyamindi kaunti ya Kirinyaga umeondolewa majini

 BY ISAYA BURUGU,4TH FEB,2023-Mwili wa mwanamme aliyezama katika mto Nyamindi katika Kijiji cha Ngucui katika kaunti ya Kirinyaga  umoendolewa  majini.Mwili huo uliondolewa  na wapiga bizi wa kibinafsi na wenyeji waliojitolea. Kelvin Muthomi  ambaye  ni mfanyikazi wa  hoteli  moja mjini Kimbimbi  eneo bunge…