Walimu saba waliokamatwa kwa kosa la kuwadhalilisha wanafunzi kuzuiliwa kwa siku mbili zaidi

Walimu saba waliokamatwa kwa kosa la kuwadhalilisha wanafunzi wa gredi ya pili wa shule ya Itumbe D.O.K watazuiliwa kwa siku mbili zaidi katika kituo cha polisi cha Inguso. Hakimu wa mahakama ya Ogembo Paul Biwott amesema amewapa maafisa wa upelelezi siku hizo…

Familia ya marehemu Prof. George Magoha yapanga kuandaa msafara kwa heshima yake.

Familia ya aliyekuwa Waziri wa  elimu George Magoha, inapanga kuandaa msafara kwa heshima yake kabla ya mazishi yake yatakayoandaliwa jumamosi ijayo nyumbani kwake  Umiru Nyamninia kule Yala. Kwa mujibu wa aliyekuwa katibu mkuu wa elimu ya msingi Julius Jwan ambaye ni msemaji…

Afisa wa polisi aliyepanga mauaji ya wakili Willie Kimani ahukumi kifungo cha maisha

BY ISAYA BURUGU,3RD FEB 2023-Fredrick ole Leliman, afisa wa polisi anayeaminika kupanga mauaji ya wakili  Willie Kimani, mteja wake  Josephat Mwenda na mwendesha texi  Joseph Muiruri mwaka 2016 amehukumiwa kifo.Waliokuwa wafanyikazi wenzake na watuhumiwa   Stephen Cheburet Morogo na Sylvia Wanjohi ambao pia…

Inspekta mkuu wa polisi adhibitisha kubadilishwa kwa walinzi wa Uhuru

BY BURUGU ISAYA,3RD JAN 2023- Inspekta mkuu wa polisi Japhet Koome amekiri kubadilishwa kwa walinzi wa rais mustaafu Uhuru Kenyatta.Akizungumza na wandishi Habari hivi leo, Koome hata hivyo amepuuzilia mbali madai kwamba ulinzi wa rais Mustaafu Uhuru Kenyatta ulikuwa umeondolewa. IG amesema…

Maombi ya kitaifa kuandaliwa tarehe 12 mwezi huu.

Naibu wa rais Rigathi Gachagua, alikuwa mgeni katika kikao kilichowaleta pamoja magavana kutoka mkoa wa Bonde la Ufa, waliokuwa wakijadili na kuweka mikakati inayofaa kabla ya kuandaa siku ya kitaifa ya maombi tarehe 12 mwezi huu. Katika taarifa yake baada ya kuhudhuria…

Watoto 5 waliozaliwa na mama mmoja Nakuru waaga dunia.

Watoto watano waliozaliwa Pamoja katika hospitali ya Nakuru Level IV siku ya jana wameaga dunia. Watoto hao wamedhibitishwa kuaga dunia baada ya kuzaliwa kabla ya wakati unaofaa, matabibu wakieleza kuwa viungo vyao vya mwili havikuwa vimekomaa, jambo ambalo limesababisha kuaga kwao walipokuwa…

Bunge kuanzisha uchunguzi kufuatia madadi ya udanganyifu kwenye mtihani wa KCSE.

Bunge la Kitaifa limealika umma kushiriki katika zoezi la kukusanya maoni kuhusu madai ya udanganyifu kwenye Mtihani wa KCSE wa 2022 ambao matokeo yake yalitolewa mwezi uliopita. Matokeo yaliyotangazwa na Waziri wa Elimu Ezekiel Machogu mnamo Januari 20 yalizua hisia tofauti kutoka…

Asilimia 46 ya visa vya ugonjwa wa saratani hugunduliwa kuchelewa yasema ripoti ya kitaifa kuhusu ugonjwa huo

BY ISAYA BURUGU 2ND FEB,2023-Ripoti ya kitaifa  kuhusu ugonjwa wa saratani iliyozinduliwa leo jijini Nairobi imebainisha kuwa asilimia 46 ya visa vya ugonjwa huo  hugunduliwa vikiwa kwenye hatua ya mwisho  huku visa vya saratani miongoni mwa Watoto  walio na umri wa chini…