Hatimaye stendi mpya ya kupakia magari ya uchukuzi yafunguliwa mjini Narok

 NAROK,1ST FEB,2023-Hatimaye stendi mpya ya magari imefunguliwa mjini Narok. Hafla ya ufunguzi wa stendi hiyo imeongozwa na waziri wa ardhi katika serikali kuu Zacharia Njeru na gavana wa kaunti ya Narok Patrick Ole Ntutu. Gavana Ntutu amesema kuwa ujenzi wa stendi hiyo…

Moto wateketeza nyumba moja ya makaazi na kusababisha hasara eneo la London ,Narok

BY ISAYA BURUGU 1ST FEB,2023-Wakaazi wa eneo la London viungani mwa mji wa Narok wanakadiria hasara baada ya moto kutokea katika nyumba yao ya makaazi. Moto huo uliozuka leo asubuhi umeteketeza nyumba moja kati ya kadhaa zinazopaka nayo.Brigid Agwenge anaripoti kwa kina.…

Mfumo wa kidigitali kutumiwa katika ulipaji wa tikiti za usafiri wa treni za madaraka express

BY ISAYA BURUGU 1ST FEB 2023-Shirika la reli nchini limetangaza kukumbatia mfumo wa kidijitali wa kulipia tikiti za usafiri katika usafiri wa treni za Madaraka Express.Agizo hilo la kupiga marufuku ulipaji wa pesa taslimu lilianza kutekelezwa Februari mosi ambapo wasafiri wote wameombwa…

Punda Amechoka! KMPDU yaitaka serikali kuwaajiri matabibu zaidi.

Muungano wa matabibu na madaktari wa meno nchini KMPDU umezitaka serikali za kaunti na ile ya kitaifa kuwaajiri matabibu zaidi waliohitimu katika masomo yao hivi karibuni. Wakizungumza katika kikao na waandishi wa habari, Katibu mkuu wa KMPDU Dr. Davji Atellah amesema kuwa…

Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta amwomboleza aliyekuwa waziri wa Elimu Prof. Magoha.

Rais Mstaafu nchini Uhuru Kenyatta, adhuhuri ya leo aliwaongoza viongozi mbalimbali katika kumwomboleza aliyekuwa Waziri wa elimu nchini Prof. George Magoha, nyumbani kwake eneo la Lavington jijini Nairobi. Rais mstaafu amemtaja mwendazake kama mtu aliyekuwa na moyo wa kusonga mbele na kufanya…

Washukiwa wanne wa mauaji ya mwanaharakati Eliud Chiloba waachiliwa huru.

Washukiwa wanne wa mauaji ya mwanaharakati Eliud Chiloba wameachiliwa huru huku rafikiye Jacktone Odhiambo akifunguliwa mashtaka ya mauaji. Hakimu mkuu wa mahakama ya Eldoret Richard Odenyo ameamuru Odhiambo ana kesi ya kujibu. Aidha Bw. Odenyo amesema kuwa wanne hao walioachiliwa huru watatakiwa…

Shirika la msalaba mwekundu tawi la Narok latoa msaada kwa waathiriwa wa mkasa wa moto.

Maafisa wa shirika la msalaba mwekundu tawi la Narok hii leo wamewatembelea waathiriwa wa mkasa wa moto uliotukia katika eneo la mong’are majuma matatu yaliyopita. Akizungumza baada ya kuwakabidhi waathiriwa hao msaada wa bidhaa kama vile vyombo na blanketi, mratibu wa shirika…

Papa Francis aanza ziara ya siku tatu nchini DRC

BY ISAYA BURUGU,31ST JAN 2023- Papa Francis leo anatarajiwa kutua katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, nyumbani kwa jumuiya kubwa zaidi ya wakatoliki wa Roma barani Afrika, kwa ziara ya siku tatu. Ni zaidi ya miaka 37 tangu Papa wa zamani ,…