Zingatieni maendeleo kwa wananchi wala sio siasa,gavana Ntutu awataka wanasiasa Narok

 BY ISAYA BURUGU 23RD JAN 2023-Wanasiasa kaunti ya Narok wametakiwa kujiepusha na malumbano ya kisiasa na badala yake kujihusisha na maswala ya kimaendeleo kaunti ya Narok.Wito huu umetolewa na gavana wa kaunti hii ya Narok Patrick Ntutu.Antony Mintila ana kina cha taarifa…

Raila Odinga kuandaa baraza la Umma kujadili ripoti ya ufichuzi kuhusu uchaguzi.

Kinara wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga, ametangaza kuwa ataandaa baraza la mashauriano la umme siku ya jumatatu tarehe 23 mwezi huu katika uwanja wa Kamukunji. Taarifa kutoka kwa ofisi ya msemaji wa bwana Odinga imeeleza kwamba kikao…

Gavana wa Mombasa Abdulswamad Shariff Nassir  ameshinda raundi ya kwanza  ya kesi ya kupinga  uteuzi maafisa wakuu kumi  wa serikali ya kaunti

BY ISAYA BURUGU,21ST JAN 2023-Gavana wa Mombasa  Abdulswamad Shariff Nassir  ameshinda raundi ya kwanza  ya kesi ya kupinga  uteuzi maafisa wakuu kumi  wa serikali ya kaunti waliozinduliwa wiki jana.Hii ni baada ya  mahakama ya leba  kule Mombasa kudinda  kutoa agizo  kuzuia  mchakato…

Waziri Murkomen afutilia mbali uteuzi wa wanachama watano wa almashauri ya bandari nchini.

Siku kadhaa  baada ya Waziri  wa uchukuzi  Kipchumba Murkomen kufutilia mbali uteuzi wa generali mstaafu  Joseph Kibwana kama mwenyekiti wa bodi ya almashauri ya Bandari nchini KPA na kumkabidhi wadhifa huo aliyekuwa mbunge wa Kinango   Benjamin Tayari sasa shoka limewangukia wanachama wa…

Jumla ya watainiwa 1,146 wasajili gredi ya A kwenye mtihani wa KCSE mwaka jana

BY ISAYA BURUGU 20TH JAN 2023-Jumla ya watainiwa 173,345  waliokalia mtihani wa kitaiafa kwa kidato cha nne mwaka jana KCSE waliapata alama ya C chanya na Zaidi. Haya ni kwa mjibu wa matokeo ya mtihani huo yaliyotanagzwa leo na Waziri wa elimu…

Viongozi wa Upinzani waendelea kukejeli matokeo ya uchaguzi wa urais ya mwaka jana.

Viongozi wa muungano wa Azimio la Umoja wameeleza nia ya kuchukua hatua Zaidi, kuweka peupe idhibati kwamba rais William Ruto hakuibuka mshindi katika uchaguzi wa mwaka jana. Wakizungumza katika kikao na waandishi wa habari jioni ya leo, viongozi hao wakiongozwa na kinara…

Bunge la seneti laidhinisha mswada wa marekebisho wa IEBC 2022.

Bunge la seneti limeidhinisha mswada wa marekebisho wa tume huru ya uchgauzi na uratibu wa mipaka nchini, ili kupisha kuanza kwa zoezi la kuwateua makamishena wapya wat me hiyo ya IEBC. Mswada huo umepitishwa bila kufanyiwa mabadiliko yoyote baada ya mwenyekiti wa…

Bunge la seneti lajadili mustakabali wa tume ya uchaguzi na mipaka IEBC.

Bunge la seneti hii leo limeandaa kikao maalum ambapo wanajadili mustakabali wa tume ya uchaguzi na mipaka IEBC. Bunge hilo linatarajiwa kuidhinisha mswada ulopitishwa na bunge la kitaifa kuhusu jopo la uteuzi litakaloendesha zoezi la kuwateua makamishna wapya wa IEBC. Mswada huo…