Serikali ya kaunti ya Narok kushirikiana na ile ya kitaifa ili kujenga majumba ya kisasa.

Serikali ya kaunti ya Narok itashirikiana na serikali ya kitaifa ili kujenga majumba ya kisasa. Hii ni kauli yake mhandisi B.M. Njenga. Akizungumza mjini Narok wakati wa ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo Bw.Njenga aliyeandamana na gavana wa kaunti hii Patrick Ntutu…

Familia Meru yalilia haki baada ya mwanawao kuuawa kinyama

BY ISAYA BURUGU 19TH JAN 2023-Familia ya mwanamke wa miaka 18 aliyeuawa na mwili wake kupatikana bila kichwa katika kichaka cha Rore huko Tigania kaunti ya Meru inalilia haki. Kwa mjibu wa nyanyake Beatrice Gatwiri msichana huyo aliondoka nyumbani baada ya kukamilisha…

Muungano wa Azimio waibua madai mapya kuwa ulishinda uchaguzi wa urais mwaka jana.

Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya umejitokeza kwa mara nyingine na kudai kuwa mgombea wake wa urais katika Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9 mwaka jana Raila Odinga, alishinda kinyang’anyiro hicho mbele ya mshindani wake wa wakati huo na ambaye sasa ni…

Bunge la seneti latarajiwa kuandaa kikao maalum hapo kesho.

Bunge la seneti linatarajiwa kuandaa kikao maalum hapo kesho ili kujadili mustakabali wa tume ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC miongoni mwa masuala mengine. Ajenda ya kwanza ya maseneta watakaorejea kutoka likizo itakuwa ni kumapisha seneta mpya wa Elgeyo Marakwet William Kisang…

NEMA yawatia mbaroni wanafyabiashara katika soko la ololulung’a.

Miaka mitano baada ya mamlaka ya utunzaji  mazingira nchini NEMA kufutilia mbali matumizi ya karatasi za plaski kutokana na madhara yake, baadhi ya wananchi wameanza kurejelea tena utumizi wa karatasi hizo wengi wakisemekana kuwa wafanyabiashara katika maeneo ya soko. Ni hali ambayo…

Rais Ruto aahidi kuimarisha tume huru na idara za kikatiba.

Kiongozi wa taifa Rais William Ruto ameahidi kuimarisha tume huru na idara zilizoundwa kikatiba, ili kuziwezesha kutekeleza wajibu wake kwa njia inayofaa, huku pia akiahidi kuwa serikali yake haitajihusisha kwa vyovyote na kuhitilafiana na tume hizo. Akizungumza katika kikao cha mashauriano na…

Serikali kujenga uwanja mpya Embu utakaoandaa sherehe za Madaraka mwaka huu.

Kamati ya kitaifa inayohusika na maandalizi ya hafla za kitaifa, inapania kujenga uwanja mpya wenye uwezo wa kusheheni wananchi 20,000 katika kaunti ya Embu, kama mojawapo ya njia za kujiandaa kwa maadhimisho ya sherehe za Madaraka mwaka huu katika kaunti hiyo. Akizungumza…

Mwenyekiti wa IEBC Wafula Chebukati akabidhi ripoti yake ya mwisho kwa rais William Ruto.

Mwenyekiti anayeondoka wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC Wafula Chebukati amekabidhi ripoti yake ya mwisho kwa rais William Ruto huku muda wake ukikamilika rasmi. Hafla ya makabidhiano ilifanyika hii leo katika Ikulu ya Nairobi. Taasisi zingine 15 ambazo zilishirika katika…