Mahakama ya Rufaa imesitisha maagizo yaliyotolewa na Mahakama Kuu yaliyosimamisha utekelezaji wa Sheria ya Bima ya Afya ya Jamii ya mwaka 2023. Jopo la majaji watatu, linalojumuisha Majaji Patrick Kiage, Pauline Nyamweya, na Grace Ngenye pia waliondoa maagizo ya kuzuia utekelezaji wa…
Mshukiwa mkuu wa vifo vya halaiki eneo la Shakahola, Paul Nthege Mackenzie, pamoja na washukiwa wengine 94, wamekana mashtaka tano yanayowakabili baada ya kufikishwa mahakamani siku ya Alhamisi. Mashtaka hayo ni pamoja na kujihusisha na uhalifu wa kupangwa, kutoa mafunzo ya itikadi…
Gavana wa kaunti ya Narok Patrick Ntutu asubuhi ya leo alipokea ripoti ya ukaguzi wa ofisi ya HR na Mishahara kutoka taasisi AGMOND International iliyofanya ukaguzi huo. Akizungumza katika ofisi za kaunti, Ntutu alisema kuwa zoezi hili la ukaguzi wa wafanyikazi lilianza…
Rais William Ruto amesema yuko tayari kuongoza mazungumzo kati ya viongozi wakuu serikalini, wabunge na pia wale wa idara ya mahakama, ili kuimarisha juhudi za kukabiliana na ufisadi katika idara ya mahakama humu nchini. Akizungumza katika eneo la Tinderet, Kaunti ya Nandi,…
Mamlaka ya Usafiri wa Ndege nchini Tanzania (TCAA) imetangaza uamuzi wa kusitisha rasmi safari zote za abiria za Shirika la Ndege la Kenya Airways kutoka Jijini Nairobi kuelekea Dar es Salaam. Katika taarifa iliyotolewa na TCAA saa kumi na moja jioni, mamlaka…
Maelfu ya wanafunzi waliokamilisha masomo ya shule ya msingi mwaka jana, wamemiminika katika Shule mbalimbali za upili nchini, ili kujiunga na kidato cha kwanza. Milolongo mirefu ya wanafunzi pamoja na wazazi wao imeshuhudiwa kuanzia asubuhi ya leo, zaidi ya wanafunzi milioni 1.4…
Wamiliki wa nyumba za kupanga mjini Narok wataanza kuwasajili wapangaji kama njia ya kukabiliana na uhalifu mjini Narok. Kamishna wa Narok, Isaac Masinde, alitangaza haya siku ya Alhamisi, akisema kwamba itasaidia asasi za usalama kuwatambua wahalifu. Tangazo hilo limekuja baada ya soroveya…
Wananchi wa maeneo ya Total na K24, viungani mwa mji wa Narok, waliandamana siku ya Alhamisi, kulalamikia mauaji ya mwanaume mmoja yaliyotokea usiku wa Jumatano katika eneo la K24. Maandamano hayo yalisababisha kusitishwa kwa muda shughuli za kawaida kwenye barabara kuu ya…