Nakhumicha Worldcoin

Mahakama ya Rufaa yasitisha maagizo yaliyosimamisha utekelezaji wa Sheria ya Bima ya Afya.

Mahakama ya Rufaa imesitisha maagizo yaliyotolewa na Mahakama Kuu yaliyosimamisha utekelezaji wa Sheria ya Bima ya Afya ya Jamii ya mwaka 2023. Jopo la majaji watatu, linalojumuisha Majaji Patrick Kiage, Pauline Nyamweya, na Grace Ngenye pia waliondoa maagizo ya kuzuia utekelezaji wa…

Washukiwa hao wanatuhumiwa kuhusika na vifo vya watu 429 katika eneo la Shakahola.

Paul Mackenzie na Washukiwa Wengine wa Shakahola Wakanusha Mashtaka.

Mshukiwa mkuu wa vifo vya halaiki eneo la Shakahola, Paul Nthege Mackenzie, pamoja na washukiwa wengine 94, wamekana mashtaka tano yanayowakabili baada ya kufikishwa mahakamani siku ya Alhamisi. Mashtaka hayo ni pamoja na kujihusisha na uhalifu wa kupangwa, kutoa mafunzo ya itikadi…

Gavana wa kaunti ya Narok Patrick Ntutu apokea ripoti ya ukaguzi wa ofisi ya HR na Mishahara.

Gavana wa kaunti ya Narok Patrick Ntutu asubuhi ya leo alipokea ripoti ya ukaguzi wa ofisi ya HR na Mishahara kutoka taasisi AGMOND International iliyofanya ukaguzi huo. Akizungumza katika ofisi za kaunti, Ntutu alisema kuwa zoezi hili la ukaguzi wa wafanyikazi lilianza…

Rais Ruto

Rais William Ruto asema yuko tayari kuongoza mazungumzo kati ya serikali na idara ya mahakama,

Rais William Ruto amesema yuko tayari kuongoza mazungumzo kati ya viongozi wakuu serikalini, wabunge na pia wale wa idara ya mahakama, ili kuimarisha juhudi za kukabiliana na ufisadi katika idara ya mahakama humu nchini. Akizungumza katika eneo la Tinderet, Kaunti ya Nandi,…

mamlaka hiyo imesema kuwa uamuzi wa kusitisha safari za Kenya Airways ni hatua ya kulipiza kisasi kutokana na Kenya kukataa kuidhinisha shirika la Ndege za mizigo la Tanzania idhini ya kutua jijini Nairobi.

Tanzania Yazima Safari za Kenya Airways Kutoka Nairobi Kuelekea Dar es Salaam.

Mamlaka ya Usafiri wa Ndege nchini Tanzania (TCAA) imetangaza uamuzi wa kusitisha rasmi safari zote za abiria za Shirika la Ndege la Kenya Airways kutoka Jijini Nairobi kuelekea Dar es Salaam. Katika taarifa iliyotolewa na TCAA saa kumi na moja jioni, mamlaka…

Kidato cha Kwanza Masai Girls High School Narok

Foleni Ndefu Zashuhudiwa Kwenye Shule za Upili Wanafunzi Wakijiunga na Kidato cha Kwanza.

Maelfu ya wanafunzi waliokamilisha masomo ya shule ya msingi mwaka jana, wamemiminika katika Shule mbalimbali za upili nchini, ili kujiunga na kidato cha kwanza. Milolongo mirefu ya wanafunzi pamoja na wazazi wao imeshuhudiwa kuanzia asubuhi ya leo, zaidi ya wanafunzi milioni 1.4…

Wamiliki wa Nyumba Mjini Narok Kuwasajili Wapangaji ili Kuimarisha Usalama.

Wamiliki wa nyumba za kupanga mjini Narok wataanza kuwasajili wapangaji kama njia ya kukabiliana na uhalifu mjini Narok. Kamishna wa Narok, Isaac Masinde, alitangaza haya siku ya Alhamisi, akisema kwamba itasaidia asasi za usalama kuwatambua wahalifu. Tangazo hilo limekuja baada ya soroveya…

Mauaji Narok

Mwanaume Mmoja Aangamizwa na Majambazi Eneo la K24, Narok

Wananchi wa maeneo ya Total na K24, viungani mwa mji wa Narok, waliandamana siku ya Alhamisi, kulalamikia mauaji ya mwanaume mmoja yaliyotokea usiku wa Jumatano katika eneo la K24. Maandamano hayo yalisababisha kusitishwa kwa muda shughuli za kawaida kwenye barabara kuu ya…