Kaunti ya Samburu yaongoza katika visa vya ujauzito miongoni mwa watoto.

Ripoti ya kitaifa kuhusu afya inaonyesha kuwa kaunti ya Samburu inaongoza katika visa vya ujauzito miongoni mwa watoto kwa asilimia 50. Ripoti hiyo iliyotolewa na mamlaka ya takwimu nchini kwa ushirikiano na wizara ya afya imebaini kuwa kaunti zilizoathirika Zaidi na mimba…

Chebukati asema hana majuto kuhusu alivyoendesha zoezi la uchaguzi wa Agosti.

Makamishena watatu wa tume huru ya uchaguzi na uratibu wa mipaka nchini IEBC wanao ondoka ofisini wamesema kuwa hawana majuto yoyote kuhusu jinsi walitekeleza zoezi la uchaguzi mkuu wa mwezi Agosti mwaka jana. Makamishena hao ambao ni mwenyekiti Wafula Chebukati, Boya Molu…

IEBC yatoa ripoti yake ya mwisho kuhusu uchaguzi wa agosti 9 wa mwaka jana.

Tume huru ya uchaguzi na uratibu wa mipaka IEBC imetoa ripoti yake ya mwisho kuhusu uchaguzi wa agosti 9 wa mwaka jana. Ripoti hiyo imetolewa siku moja tu kabla ya mwenyekiti wa tume hiyo wafula chebukati na makamishna wengine wawili kuondoka ofisini.…

Wafanyabiashara mjini Kilgoris walalamikia hatua ya kutozwa ushuru kila wakati.

Wafanyabiashara mjini Kilgoris Trasmara magharibi wamefanya maandamano kulalamikia hatua ya kaunti ya Narok kuwatoza ushuru kila wakati. Wakizungumza na waandishi wa habari wafanyabiashara hao wamesema imekuwa vigumu sana kwao kufanya kazi kwani serikali ya kaunti ya Narok huwaitisha ushuru kila wakati hatua…

Serikali kugharamia karo ya wanafunzi wa kiwango cha Junior Secondary

BY ISAYA BURUGU 16TH JAN 2023-Wanafunzi wanaotarajiwa kujiunga na junior secondari mwaka huu hawatalipa karo yoyote .Haya ni kwa mjibu wawaziri wa elimu Ezekiek Machogu.Waziri akizungumza wakati wa kutangaza mikakati ya wanafuzni waliofanya KCPE mwaka jana kujiunga na shule za upili, amesema…

Maafisa wa polisi watakiwa kushirikiana na kanisa kama njia moja ya kutatua tatizo la msongo wa mawazo.

BY ISAYA BURUGU 16TH JAN 2022-Maafisa wa polisi wametakiwa kushirikiana na kanisa ili kama njia moja ya kutatua changamoto zinazoambatana na misongo ya mawazo wakiwa kazini. Akizungumza baada ya kushiriki misa maalum na ufunguzi wa kanisa ndani makazi ya polisi wa mji…

Bei ya Mafuta nchini kusalia sawa na ya mwezi Disemba 2022 – EPRA

Bei ya mafuta nchini haitabadilika kw akuongezeka au kupungua katika kipindi cha mwezi mmoja ujao. Taarifa kutoka kwa mamlaka ya udhibiti wa Nishati nchini imesema kuwa mafuta ya Super Petrol yataendelea kuuzwa kwa shilingi 177 kwa lita, Dizeli ikiuzwa kwa shilingi 162…

Mwanaume mmoja Narok ashtakiwa baada ya kunaswa na nyama ya Punda Milia.

Mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 40 alifikishwa katika mahakama ya Narok baada ya kupatikana na kilo 170 ya nyama ya punda milia. Konene sordo ambaye aliwasilishwa mbele ya hakimu mkaazi wa mahakama hiyo phyllis shinyanda, alikiri kuwa alipatikana na nyama hiyo…