Vurumai yashuhudiwa katika bunge la kaunti ya Kericho.

Kikao maalum katika bunge la kaunti ya Kericho kilikatizwa baada ya Machafuko kuzuka, baada ya wawakilishiwadi kutofautiana kuhusu uongozi wa nunge hilo. Katika kanda ya video iliyosambaa mitandaoni, wawakilishiwadi hao wameonekana wakirushiana Makonde huku wengine wakijaribu kuwatenganisha. Viongozi hao walikua wamekongamana katika…

Wahadhiri wa chuo kikuu cha Egerton walalamikia mishahara yao ya miaka mitatu.

Wahadhiri wa chuo kikuu cha Egerton kwa mara nyingine wamejitokeza kulalamikia mishahara yao ambayo hawajalipwa kwa miaka mitatu sasa. Wakizungumza na waandishi wa habari, wahadhiri hao wamewataka viongozi wa chuo hicho kufuata maagizo ya mahakama na kulipa mishahara yao asilimia bin mia.…

Mwili wa mwalimu aliyeripotiwa kupotea  mwezi disemba mwaka jana wapatikana ndani ya sanduku  nyumbani mwake Kijiji cha  Ihururu kaunti ya Nyeri.

BY ISAYA BURUGU  13TH  JAN 2023-Mwili wa mwalimu wa miaka 44 aliyeripotiwa kupotea  tarehe 22 mwezi disemba mwaka jana umepatikana ndani ay sanduku  nyumbani mwake katika Kijiji cha  Ihururu kaunti ya Nyeri. Mabaki ya Joseph Gathogo yamepatikana  ndani ya chumba chake cha …

Wakulima Narok wanufaika na mafunzo yanayolenga kuboresha shughuli zao

BY ISAYA BURUGU  13TH JAN 2023-Wakulima katika kaunti ya Narok wamenufaika na mafunzo yanayolenga kuwawezesha kufahamu jinsi ya kuendesha shughuli zao na kupata faida wakati huu taifa linaposhuhudia adhari za mabadiliko ya hali ya hewa.Katika mafunzo hayo yaliyoandaliwa katika  shamba la Purko…

Rais Wiliam Ruto aanza ziara ya kikazi ya siku mbili eneo la Nyanza

BY ISAYA BURUGU  13TH JAN 2023-Rais  William Ruto  Hivi leo Ijumaa anaazna  ziara ya siku mbili eneo la Nyanza .Ziara hiyo ya Rais  itampelekea kuzuru kaunti tatu za Nyanza ambazo ni Homa Bay,Kisumu na Siaya. Kwa mjibu wa msemaji wa Ikulu Hussein…

Gavana Ntutu aahidi kukabiliana na kero la mikasa ya moto Mjini Narok.

Gavana wa kaunti ya Narok Patrick Ntutu amewaagiza maafisa kutoka idara ya kukabiliana na majanga nchini, kuimarisha jitihada zake za kuwasaidia wananchi mjini Narok wakati wanapokumbwa na majanga ya moto. Akizungumza baada ya kuzuru maeneo 5 yaliyoathirika na moto mjini Narok, gavana…

Watangazaji mbalimbali wakusanyika kumpa mkono wa buriani Catherine Kasavuli.

Viongozi mbalimbali wa kisiasa pamoja na watangazaji wamemmiminia sifa tele mwendazake mtangazaji  mkongwe wa runinga Catherine Kasavuli. Wakizungumza wakati wa hafla ya Ibaada ya wafu kwa mwendazake iliyoandaliwa katika kanisa la friends jijini Nairobi,marafiki na watu waliosoma naye wamemkumbuka Kasavuli kama mtu…

Makurutu 991 wa polisi wa GSU wafuzu kule Embakasi,wito ukitolewa kwao kusimama imara kulinda nchi

BY ISAYA BURUGU  12TH JAN 2022-Rais Wiliamu Ruto amekita kambi kwa siku ya pili mfulilizo hivi leo katika chou cha utoaji mafunzo kwa polisi wa utawala cha Embakasi kuongoza hafla ya kufuzu kwa makurutu wa GSU.Hiyo jana rais alikuwa katika chou hicho…