Mwanamme aliyehukumiwa kifungo cha maisha na mahakama ya Narok ni mtanzania

BY ISAYA BURUGU 12TH JAN 2022-Sasa taarifa zimeibuka  kwamba Mwanaume aliyefungwa maisha hapo jana na mahakama ya Narok baada ya kukiri kumuoa na kumpachika mimba msichana mwenye umri wa miaka 9 ni raia wa taifa jirani la Tanzania. Mmoja wa viongozi eneo…

TSC Yaidhinisha uhamisho wa walimu elfu 14 katika kaunti zao za nyumbani.

Tume ya Kuwaajiri Walimu nchini TSC imeidhinisha uhamisho wa walimu 14,613 hadi kaunti zao za nyumbani, kama mojawapo ya njia za kufanikisha mpango wa kuwawezesha walimu kufanya kazi katika maeneo yao ya nyumbani. Kati ya walimu elfu 14,733 waliowasilisha maombi ya uhamisho…

Mwanaume mmoja ahukumiwa kifungo cha maisha kwa kumoa msichana wa miaka tisa.

Mwanaume mwenye umri wa miaka 50 amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani baada ya kukiri kumoa msichana mwenye umri wa miaka 9. Saigulu Ololosereka aliyefikishwa katika mahakama ya Narok mbele ya hakimu mkuu Phyllis Shinyada alishtakiwa kwa mashtaka mawili yakiwemo kumnajisi msichana wa…

Rais Ruto asisitiza kuwa serikali itazidi kuunga mkono juhudi za kuleta amani eneo la upembe mwa Afrika

BY ISAYA BURUGU 11TH JAN,2022-Rais Wiliamu Ruto hivi leo ameongoza hafla ya kufuzu kwa makurutu wa polisi wa utawala katika chou cha utoaji  mafunzo kwa maafisa hao iliyoko Embakasi Nairobi.Maafisa hao wanaofuzu wamekuwa katika mafunzo ya miezi tisa iliyopita. Akihutubu katika hafla…

Waakazi wa majengo Narok wakadiria hasara huko moto ukiteketeza nyumba za makaazi

 BY ISAYA BURUGU 11TH JAN,2022-Wakaazi wa eneo la Majengo viungani mwa mji wa Narok wanakadiria hasara ya mamilioni ya fedha kufuatia moto kubwa uliyoteketeza nyumba  moja ya makaazi  eneo hilo usiku wa kuamkia leo. Wakaazi wanasema Nyumba nne na duka ni baadhi…

Walimu wadai nyongeza ya malipo ya kusahihisha mtihani wa KCSE.

Walimu wa shule za upili nchini sasa wanalitaka Baraza la Kitaifa la Mitihani nchini KNEC kuogeza malipo wanayopata wakati wa kusahihisha mitihani ya kidato cha nne ya KCSE. Katibu mkuu wa Muungano wa Walimu wa shule za Upili (Kuppet) Akelo Misori amesikitikia…

Gavana Sakaja akanusha madai ya vita kati yake na naibu wa rais Gachagua.

Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja amezungumza kuhusu vita vyake vinavyoendelea na Naibu Rais Rigathi Gachagua kuhusu mipango ya kuondoa matatu kutoka mjini. Viongozi hao wawili wamepinga maswala hayo huku Sakaja akishikilia kwamba anaungwa mkono kikamilifu na Rais William Ruto kurejesha kile anachokiita…

Jaji Mkuu aipongeza Mahakama ya Mizozo ya Vyama vya Kisiasa kwa kutatua kesi haraka.

Jaji Mkuu Martha Koome amepongeza Mahakama ya Mizozo ya Vyama vya Kisiasa kwa kutatua kwa haraka mizozo ya kabla ya uchaguzi. Koome ameeleza kuwa Mahakama hiyo ilihakikisha migogoro yote 314 ya kabla ya uchaguzi inatatuliwa kwa wakati. Kulingana naye, mahakama hiyo inaendelea…