Utapeli wa ardhi Narok waripotiwa kukidhiri serikali ikitakiwa kuanzisha uchunguzi

 BY ISAYA BURUGU   10TH JAN,2023-Serikali imetakiwa kufanya uchuguzi kuhusu visa vya ulaghai wa ardhi ya umma vinavyoriopotiwa kukidhiri mjini Narok.Ni wito wake aliyekuwa mwaniaji wa kiti cha ubunge Narok kaskazini  Kerempoti Sadera . Sadera akizungumza mjini Narok amesema swala ardhi ni swala…

Rais Wiliam Ruto atoa hakikisho la serikali kuendelea kuwapa polisi vifaa na msaada hitajika

 BY ISAYA BURUGU  10TH JAN 2022-Rais Wiliam Ruto ametoa hakikisho kwa taifa kuwa serikali yake itaendelea kujizatiti kuboreshwa mazingira ya utenda kazi kwa maafisa wa polisi nchini. Akizungumza  katika   hafla ya kufuzu kwa makurutu wa polisi katika chuo cha utoaji mafunzo kwa…

Waziri Susan Nakhumicha aahidi ushirikiano ili kuinua hospitali katika kaunti ya Nyeri.

Waziri wa Afya nchini Bi. Susan Nakhumicha kwa mara nyingine amesisitiza kujitolea kwa serikali katika kutoa msaada kwa serikali za kaunti ili kuziwezesha kutoa huduma za afya zenye kiwango kinachofaa. Akizungumza katika kaunti ya Nyeri mchana wa leo alipomtembelea gavana wa kaunti…

Mwanaume wa miaka 50 Kaunti ya Narok akiri kosa la kumwoa msichana wa miaka 9.

Mwanaume mwenye umri wa miaka 50 kutoka eneo la Entasekera Narok Kusini amekiri kosa la kumwoa msichana mwenye umri wa miaka 9 na kukubali mashtaka dhidi yake katika kesi iliyowasilishwa mbele ya hakimu mkazi Phyllis Shinyada mchana wa leo. Mwanaume huyo kwa…

Washukiwa watano wa mauaji ya Edwin Chiloba kuzuiliwa kwa wiki tatu zaidi.

Washukiwa watano wa  mauaji ya mwanaharakati wa ubasha Edwin Chiloba wataendelea kuzuiliwa kwa wiki tatu zaidi ili kutoa nafasi ya kukamilika kwa uchunguzi. Tano hao ambapo watatu kati yao hawajahitimu umri wa miaka 18 walifikishwa katika mahakama ya Eldoret. Jacktone Odhiambo ambaye…

Makamishna wa CRA waapishwa

BY ISAYA BURUGU 9TH JAN,2022-Makamishna saba wa Tume ya Ugavi wa Mapato walioteuliwa wameapishwa rasmi leo kuanza jukumu lao. Hii ni baada ya Bunge la Kitaifa kuwaidhinisha makamishna hao saba mnamo Desemba 8, 2022, baada ya kufika mbele ya Kamati ya Bunge…

Polisi Narok wamtia nguvuni mwanamme wa miaka 40 kwa kumua msichana wa miaka 12

BY ISAYA BURUGU  9TH JAN 2022-Mwanume mwenye umri wa miaka 40 anazuiliwa katika kituo cha polisi cha Narok kwa tuhuma ya kukiuka haki za watoto kwa kumoa msichana wa mwenyeumri wa miaka 7 ambaye sasa ana miaka 12.Inaarifiwa kwamba muuguzi mmoja katika…

Mbunge wa Thika Mjini aomba kuongezwa kwa mgao wa NG-CDF

Siku kadhaa baada ya mgao wa fedha za maendeleo ya maeneobunge almaarufu NG CDF kutolewa, mbunge wa Thika Mjini Alice Ng’ang’a ameaka kuongezwa kwa fedha hizo hasa katika maeneobunge yaliyo na idadi kubwa Zaidi ya watu. Bi. Ng’ang’a amesema kuwa kupatiwa fedha…