Serikali kutumia Teknolojia kuwafaa wakulima na kuwaondoa Madalali.

Wakulima humu nchini watafaidi pakubwa kutoka kwa serikali ya kitaifa, baada ya serikali kuanzisha mchakato wa kutoa huduma kwa wakulima hawa kwa njia za kidijitali. Rais William Ruto amesema kwamba teknolojia itaiwezesha serikali kuwaondoa mdalali wanaowahujumu wakulima na kusababisha kuongezeka kwa gharama…

Mshukiwa wa utapeli David Mutai aachiliwa kwa dhamana ya shilingi laki 3.

Mshukiwa wa utapeli kupitia ubadilishaji wa laini za simu Hillary Langat Matindwet almaarufu David Mutai, ameachiliwa kwa dhamana ya shilingi 300,000 baada ya kukana mashtaka dhidi yake. Mshukiwa huyo alikamatwa mwishoni mwa mwaka jana katika kaunti ya kericho, na amekuwa akizuiliwa katika…

Chama cha UDA chavuna ushindi Kandara, Garissa na Elgeiyo Marakwet.

Salim aliyewania wadhifa huo kwa tiketi ya chama cha ODM sasa ndiye mwakilishi wadi wa eneo hilo, baada ya kujizolea jumla ya kura 1,053 mbele ya Mohamed Hassan Ali wa Chama cha Amani National Congress (ANC) aliyezoa kura 573

Musalia Mudavadi aongoza kikao cha kwanza cha Mawaziri na washauri wa serikali.

Mkuu wa Baraza la Mawaziri nchini Musalia Mudavadi ameongoza baraza la mawaziri pamoja na viongozi wengine, katika kikao cha kwanza cha mashauriano, kilichoandaliwa katika hoteli ya Mt. Kenya Safari Club eneo la Nanyuki katika kaunti ya Laikipia. Kikao hicho ambacho cha siku…

Matabibu wasitisha mgomo ulioratibiwa kuanza Ijumaa.

Madaktari humu nchini wametangaza kusitishwa kwa mgomo uliokuwa umeratibiwa kuanza kuanza hio kesho tarehe 6 mwezi Januari. Hii ni baada ya kuafikia makubaliano katika kikao cha mazungumzo kati ya wawakilishi wa matabibu, Baraza la Magavana na Wizara ya Afya. Katika kikao hicho…

Pope Francis amzika Pope Benedict XVI

Papa Francis aongoza misa ya mazishi ya Papa Benedict XVI.

Kiongozi wa kanisa Katoliki Papa Francis mchana wa leo ameongoza misa ya ibada ya mazishi ya mtangulizi wake Papa Benedict XVI mjini Vatican. Papa Francis ametoa mahubiri katika Misa hiyo ambayo imehudhuriwa na takriban makadinali 120, maaskofu 400 na Zaidi ya mapadre…

Wananchi wa Kerio Valley waombwa kudumisha amani, wahalifu wakipewa onyo.

Viongozi wa kijamii na kisiasa kutoka eneo la Kerio Valley wakiongozwa na Mbunge wa Tiaty William Kamket, wameandaa kikao na wanajamii katika eneo hilo, kwa nia ya kutafuta suluhu la kudumu la vurugu zinazoshuhudiwa katika eneo hilo. Akizungumza katika kikao hicho, Kamket…

Hakuna malipo yoyote yanahitaji katika zoezi la kuwasajili wakulima nchini.

Waziri wa kilimo nchini Mithika Linturi amesema kuwa sajili ya wakulima itakayoundwa baada ya kuwasajili wakulima katika shughuli za kupokea huduma muhimu za serikali kama vile mbegu na mbolea, itawekwa salama. Waziri Linturi amesema kuwa sajili hii itakapoundwa, itasaidia katika kutekeleza mpango…