Watu wawili walionaswa wakimpa mtoto pombe siku ya krismasi wakamatwa

BY  ISAYA BURUGU  29TH DEC 2022- Makachero wa  kitengo cha upelelezi wa jinai DCI wamemkamata mtu  aliyeonekana kwenye video iliyosambazwa katika mitandao yakijamii  siku ya krisimasi akimnywesha mtoto pombe kali. DCI imedhibitisha kukamatwa kwa watu wawili kupitia  taarifa iliyo chapishwa kwenye mitandao…

Watu wawili waangamia kwenye jinamizi la ajali kwenye barabara ya Kenol Muranga

BY ISAYA BURUGU,29TH DEC 2022-Watu wawili wamepoteza  Maisha leo katika ajali ya barabarani  iliyohusisha lori na gari dogo aina ya pick up. Ajali hiyo ilitokea kwenye barabara ya Kenol Muranga. Kwa mjibu wa polisi ajali hiyo ya mwendo was aa nne za…

Wanamgambo wa Al-Shabaab wawaua watu wawili Lamu

BY  ISAYA BURUGU 29TH DEC 2022-Watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa kundi la kigaidi la Alshabaab  wamewaua watu wawili kwa kuwapiga risasi mapema leo asubuhi  katika barabara  ya Lamu kuelekea Garsen katika kaunti ya Lamu. Taarifa zinasema kuwa angalau wanamgambo 10  waliovalia sare…

Gavana Sakaja awasiliana na viongozi wa madakitari katika juhudi za kuzuia mgomo

BY ISAYA BURUGU 28TH DEC 2022-Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja amewasiliana na muungano wa madaktari katika jitihada za kuepusha mgomo wa madaktari unaokaribia mwezi Januari mwakani. Muungano wa Madaktari, Wafamasia na Madaktari wa Meno nchini (KMPDU) ulitoa notisi ya mgomo ili hatua…

Mtu mmoja aaga dunia wengine wengi wakijeruhiwa baada ya basi la kampuni ya Modern Coast kuanguka mtoni Kisii

BY ISAYA BURUGU 28TH DEC 2022-Mtu mmoja ameaga dunia leo  huku wengine kadhaa wakijeruhiwa vibaya baada ya basi la kampuni ya modern coast  kuanguka mtoni kaunti ya Kisii. Basi hilo liliripotiwa kupoteza mwelekeo  na kuacha barabara eneo la Masosa kabla ya kuanguka…

Wenyeji Narok watakiwa kujiepusha na kuvuka mito iliyofurika

BY ISAYA BURUGU ,28TH DEC 2022– Kamanda wa polisi kaunti ya Narok Kizito Mutoro amewataka Wenyeji wa Narok kuwa wangalifu kufuatia mvua kubwa inayoendelea kushudiwa maeneo mbali mbali kaunti ya Narok. Kizito akizungumza ofisini mwake mjini Narok amesema mtu amesombwa na maji…

DPP Haji apinga hatua ya kutupilia mbali mashataka ya ufisadi dhidi ya Sonko

BY ISAYA BURUGU 27TH DEC 2022-Mkurugenzi mkuu wa mashataka ya umma Noordin Haji amewasilisha rufaa mahakamani akipinga hatua ya hakimu mkuu Douglas Ogoti  kumwachilia aliyekuwa gavana wa Nairobi Mike Mbuvi  Sonko katika kesi ya ufisadi wa shilingi milioni 20 iliyokuwa ikimwandama. Hakimu…

Mtu mmoja asombwa na maji alipokuwa akijaribu kuvuka mto uliyofurika Kilgoris

BY ISAYA BURUGU 27TH DEC 2022-Mwanamme mmoja ambaye ni muhudumu wa bodaboda amesombwa na maji ya mafuriko alipokuwa akijaribu kuvuka mto wakolnkit katika Kijiji cha Ala Lui eneo la kilgoris Transmara magharibi kaunti hii ya Narok. Hii ni kufuatia mvua kubwa inayoendelea…