Msimu wa krisimasi ni wakati wa kuonyesha moyo wa upendo-Padri Mukwe

BY ISAYA BURUGU ,27TH  DEC 2022- Waumini wametakiwa kuwa na upendo na kuonyesha upendo huo kwa wasiobahatika katika jamii katika kipindi hilki cha shere za krimaisi na mwaka mpya. Wito huo umetolewa na mshirikishi wa maswala ya kichungaji kwenye jimbo katoliki la…

Gavana Mwangaza akanusha madai ya ukiukaji sheria yaliyoibuliwa dhidi yake

BY ISAYA BURUGU 27TH DEC 2022-Gavana wa kaunti ya Meru Kawira Mwangaza amekanusha madai ya ukiukaji sheria dhidi yake yaliyotolewa na wawakilishi wadi wa kaunti hiyo  na kutumiwa kama msingi wa kumangatua mamlakani.Kawira amefika mbele ya kikao maalum cha bunge la seneti…

MCK yaitisha uchunguzi wa kina dhidi ya mauaji ya mwanahabari wa Standard Group,huku likilaani vikali kitendo hicho

BY ISAYA BURUGU 23RD DEC  2022-Baraza la Vyombo vya Habari nchini Kenya limeomba Huduma ya Kitaifa ya Polisi kuharakisha uchunguzi kuhusu mauaji ya mwanahabari Moses Okiror Omusolo. Baraza hilo limelaani mauaji ya kutisha ya Omusolo, likisema kuwa usalama wa wanahabari ni muhimu.…

Rais Wiliam Ruto amteua aliyekuwa waziri wa uchukuzi Michael Kamau kuwa mwneyekiti mpya wa bodi ya NHIF

BY ISAYA BURUGU 23RD DEC 2022-Aliyekuwa  waziri wa uchukuzi  Michael Kamau amerejea tena katika utumishi wa umma  baada yake kuteuliwa mwenyekiti mpya wa bido ya hazina yakitifa yakimatibabu NHIF.   Kupitia  notisi  kwenye gazeti rasmi la serikali  iliyochapishwa na rais William Ruto …

Maraga kusimamia jopo kazi la kutathmini mbinu za kuimarisha mazingira ya utendakazi kwa maafisa wa polisi

BY ISAYA BURUGU 22ND DEC 2022-Rais  William Ruto amemteua aliyekuwa jaji mkuu  David Maraga kama mwenyekiti wa jopokazi litakalotathmini jinsi ya kuimarisha mazingira ya utendakazi kwa  polisi na maafisa wa magereza.Maraga atasaidiwa  na Carole Karuiki  kwenye jopokazi hilo lililo na wananchama 20.…

TAANZIA: Mchezaji filamu Gibson Gathu Mbugua ameaga dunia

BY ISAYA BURUGU 22ND DEC 2022-Gibson Gathu Mbugua  aliyewahi  kuwa kiongozi wa mashtaka katika kipindi maarufu cha Vioja mahakamani kinachopeperushwa kwenye runinga yakitaifa ya KBC  ameaga dunia. Mbugua  alikuwa amefanyiwa  upasuaji kubadilishiwa figo  katika hospitali ya Mediheal mjini Eldoret. Hata hivyo baada…

Kesi ya Ufisadi dhidi ya Gavana wa zamani wa Nairobi Mike Sonko yafutwa.

Kesi ya ufisadi na utumizi mbaya wa mali ya umma dhidi ya aliyekuwa gavana wa Nairobi Miko Sonko imefutwa mahakamani kwa ukosefu wa idhibati. Hakimu Mkuu wa Mahakama ya Kupambana na Ufisadi Douglas Ogoti ameamuru kudondoshwa kwa kesi hiyo ya ufujaji wa…

Matokeo ya KPSEA yatakuwa tayari kufikia tarehe 16 mwez ujao.

Matokeo ya watahiniwa wa gredi ya sita watakaojiunga na ngazi ya chini ya sekondari mwaka ujao yatakuwa tayari kwenye mtandao wa KNEC kufikia tarehe 16 mwezi januari. Kila mwanafunzi aliyeandika mtihani huo atapokea matokeo yake binafsi huku kila shule pia ikipokea matokeo…