Mipango yawekwa kuhakikisha kuwa mtaala wa CBC unaendeshwa kama ilivyoratibiwa.

Tume ya kuwaajiri walimu nchini TSC imeweka mipango inayofaa kuhakikisha kuwa utekelezaji wa mtaala mpya wa CBC unaendeshwa kama ilivyoratibiwa. Mkurugenzi mkuu wa tume hiyo Nancy Macharia amesema mwaka ujao Zaidi ya walimu alfu 30 watatumwa kote nchini kusaidia katika kufanikisha azimio…

Mwanamme atobolewa macho Kisii kufuatia madai ya mzozo wakimapenzi

BY ISAYA BURUGU 21ST DEC 2022-Mwanamume mmoja mwenye umri wa makamo kutoka eneo la Magena, kaunti ya Kisii anapigania macho yake baada ya umati wa watu kumvamia katika shambulizi linaloshukiwa kuwa mzozo wa kimapenzi. Polisi, hata hivyo, walisema Simon Kengere mwenye umri…

Mtainiwa bora wa KCPE apata alama 431 matokeo mwaka huu yakiimarika

BY  ISAYA BURUGU 21ST DEC 2022-Kila mwanafunzi aliyefanya mtihani wa kitaifa kwa darasa la nane mwaka huu atapata nafasi katika shule ya upili.Waziri wa elimu Ezekiel Machogu anasema serikali maho kuendelea na mpango wake wa Watoto kujiunga na shule kwa asilimia mia…

Kamati ya maseneta 11 yaundwa kuchunguza kubanduliwa kwa Gavana Kawira Mwangaza.

Maseneta wamelazimika kukatiza likizo yao ili kuhudhuria kikao maalum cha kusikiliza mswada wa kumbandua gavana wa Meru Kawira mwangaza,  baada ya wawakilishi wadi wa Meru kumbandua mamlakani gavana huyo kwa madai ya utumizi mbaya wa ofisi na kukiuka sheria za katiba. Katika…

Makamishna wa IEBC

Vikao vya kusikilizwa kwa malalamishi dhidi ya makamishna wanne wa IEBC vyang’oa nanga. nanga

Vikao vya kusikilizwa kwa malalamishi dhidi ya makamishna wanne wa IEBC na jopo linaloongozwa na jaji wa mahakama ya rufaa Aggrey Muchelule vimeng’oa nanga hii leo. Wakili wa kamishna Irene Masit, Donald Kipkorir amepinga kuanza kwa vikao hivyo akidai kuwa kesi hiyo…

Hoja ya kumbandua gavana Mwangaza yajadiliwa katika bunge la seneti.

Kikao maalum cha kujadili hoja ya kubanduliwa kwa gavana wa Meru Kawira Mwangaza kinaendelea hivi sasa katika bunge la seneti. Maseneta wamelazimika kukatiza likizo yao ili kuhudhuria kikao hicho baada ya wawakilishi wadi wa Meru kumbandua mamlakani gavana huyo kwa madai ya…

Wizara za uchukuzi na usalama wa ndani kuendesha msako kwa Pamoja dhidi ya madereva wanaovunja sheria za trafiki

BY ISAYA BURUGU 20TH DEC 2022-Wizara za uchukuzi na usalama wa ndani zimetangaza kuwa zitaendesha msako kwa Pamoja dhidi ya madereva wanaoendesha magari bila uajibikaji na kusabbaisha ajali msimu huu wa sherehe za krismasi.Kwenye kikao cha Pamoja kwa wanahabari,Waziri wa uchukuzi Kipchumba…

Wawakilishi wa Kenya kwenye bunge la EALA waapishwa.

Wawakilishi wa Kenya katika bunge la Afrika Mashariki EALA, wametwaa kiapo cha uaminifu na utumishi katika makao makuu ya afrika Mashariki mjini Arusha katika taifa Jirani la Tanzania. Viongozi hao walikua miongoni mwa wabunge 63 kutoka mataifa saba ya Afrika mashariki waliochaguliwa…