Serikali yaahidi kuimarisha mazingira ya kazi kwa maafisa wa polisi.

Waziri wa usalama wa ndani Kithure Kindiki amesma kuwa serikali itaweka mikakati dhabiti ili kuimarisha mazingira ya kazi kwa maafisa wa polisi. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa mnara wa kumbukumbu wa polisi katika Chuo cha Polisi cha Utawala Embakasi, Kindiki ameeleza kuwa…

Hukumu ya maafisa watatu katika kesi ya Willie Kimani kutolewa mwaka ujao.

Hukumu ya maafisa watatu wa polisi na raia mmoja waliopatikana na hatia ya mauaji ya Wakili Willie Kimani, mteja wake Josephat Mwenda na dereva wa teksi Joseph Muiruri itatolewa tarehe 3 mwezi februari mwaka ujao. Wanne hao ni pamoja na maafisa Fredrick…

Nick Salat

Nick Salat atemwa nje ya wadhifa wake katika chama cha KANU

Chama cha KANU kimemsimamisha kazi Katibu Mkuu wa chama hicho Nick Salat kwa madai ya utovu wa nidhamu na ukiukaji wa katiba ya chama. Kwa mujibu wa barua ya Mwenyekiti wa Kitaifa wa KANU Gideon Moi kwa Halmashauri Kuu ya Kitaifa ya…

Baraza la madhehebu mbalimbali lawapongeza wakenya kwa kudumisha amani.

Baraza la madhehebu mbalimbali nchini limewapongeza wakenya na haswa vijana kwa kudumisha amani wakati na baada ya uchaguzi mkuu. Kwenye kikao na waandishi wa habari, viongozi wa baraza hilo wamesema kuwa vijana walikubali wito kutoka kwa viongozi wa kidini na mashirika ya…

Serikali yapania kuwaajiri maafisa wa NYS ambao watalinda majengo ya serikali.

Naibu Rais Rigathi Gachagua amesema serikali inapania kuwabadilisha maafisa wa Huduma ya Kitaifa ya Polisi wanaolinda vituo muhimu na maafisa wa Huduma ya Kitaifa ya Vijana. Akizungumza wakati wa ufunguzi rasmi wa maonyesho ya Huawei katika jumba la Kimataifa la Mikutano KICC,…

Zoezi la kuwachanja mifugo katika kaunti hii ya Narok lang’oa nanga hii leo.

Zoezi la kuwachanja mifugo katika kaunti ya Narok limeng’oa nanga hii leo baada ya idara ya kilimo na mifugo kupokea dozi 510,000 za chanjo ya mifugo. Akizungumza baada ya kupokea dozi hizo, waziri wa kilimo Joyce Keshe amesema kuwa zoezi hilo limeanza…

NPS yaomba madereva kuwa waangalifu msimu huu wa sherehe.

Idara ya huduma za polisi nchini imeomba madereva kote nchini kuwa wastaarabu na waangalifu wanapotekeleza majukumu yao, ili kuepuka ajali za barabara, hasa wakati huu wa shamrashamra. Wito huu unafuatia ajali mbaya ya barabara kushuhudiwa asubuhi ya leo katika eneo la Governor…

Naibu rais azindua safari ya ndege ya kwanza kuelekea kaunti ya kakamega.

Naibu wa Rais Rigathi Gachagua ameongoza hafla ya uzinduzi wa safari ya ndege ya kwanza kabisa kuelekea katika kaunti ya Kakamega. Hafla ya uzinduzi wa safari hiyo iliandaliwa katika uwanja wa ndege wa Wilson Jijini Nairobi, na kushuhudia ndege ya abiria ya…