Serikali yaanzisha oparesheni ya kudhibiti matumizi ya mihadarati kote nchini.

Huku sikukuu ya krismasi ikijongea kwa mwendo wa kasi, serikali imeanzisha oparesheni ya kudhibiti uuzaji wa pombe haramu na ulanguzi wa dawa za kulevya kote nchini. Wizara ya Mambo ya Ndani kwa ushurikiano na serikali ya Kitaifa itaongoza zoezi hilo ambalo linalenga…

Washukiwa watano wanaojifanya kuwa maafisa wa KRA watiwa mbaroni mjini Narok.

Washukiwa watano wanaojifanya kuwa maafisa wa Mamlaka ya Ushuru nchini wametiwa mbaroni mjini Narok wakiwatishia wafanyabiashara wa vileo. Watano hao ni pamoja na afisa maarufu wa serikali. Maafisa walifanikiwa kupata stakabadhi muhimu kutoka kwa washukiwa ambazo zitatumika kama ushahidi dhidi yao. Kwa…

Jopokazi maalum kuundwa kuangazia mageuzi katika idara ya polisi.

Rais William Ruto anapania kuangazia upya utendakazi wa idara ya polisi, ili kuiwezesha idara hii kutekeleza majukumu yao kwa ustaarabu, pasi na kukiuka haki za kibinaadam kwa wakenya wake. Katika hotuba yake mchana wa leo, Rais Ruto ameahidi kubuniwa kwa jopokazi litakalohakiki…

Kero la uwindaji haramu latawala maadhimisho ya Jamhuri Kaunti ya Narok.

Gavana wa Kaunti ya Narok Patric Ntutu ameahidi kuimarisha usalama wa wanyamapori katika kaunti ya Narok, ili kusaidia kuinua mapato yanayotokana na utalii. Katika hotuba yake wakati akiongoza maadhimisho ya shamrashamra za jamhuri katika eneo la Olderkesi, Eneobunge la Narok magharibi, Gavana…

Serikali yapania kuwaajiri vijana 11,000 wataokaopanda miti katika jiji la Nairobi.

Rais Wiliam Ruto hii leo ameliongoza taifa kuadhimisha siku kuu ya jamhuri ya 59.Sherehe hizo ambazo ziliandaliwa katika uwanja wa Nyayo jijini Nairobi ziliangazia teknolojia na ubunifu humu nchini. President @WilliamsRuto at the 59th Jamhuri Day Celebrations at the Nyayo Stadium, Nairobi.…

Rais Ruto aliongoza taifa kuadhimisha siku kuu ya 59 ya Jamhuri huku wakenya wakiwa na matarajio

BY ISAYA BURUGU 12TH DEC 2022-Rais Wiliam Ruto hivi leo ameliongoza  taifa kuadhimisha siku kuu ya jamhuri ya 59.Sherehe hizo zimendaliwa katika uwanja wa Nyayo jijini Nairobi.Kilele cha sherehe hizo ni hotuba ya rais kwa taifa.Wannachi wanasubiri kusikia  hatuba hiyo yar ais…

Mshukiwa sugu wa Ujambazi akamatwa Kilimani Nairobi

BY ISAYA BURUGU ,12TH DEC 2022-Maafisa wa polisi eneo la Kilimani wamemtia mbaroni  jambazi sugu  anayeaminika kuwa kiongozi wa genge  ambalo limekuwa likijihusisha na visa vya wizi wa  kimabavu  eneo la kilimani na viungani mwake jijini Nairobi. Peter Waithaka mwenye umri wa…

Watoto wawili wajeruhiwa vibaya baada ya kilipuzi kuwalipukia eneo la maji moto Narok

BY ISAYA BURUGU,10TH DEC 2022-Watoto wawili wavulana wamejeruhiwa vibaya hivi leo baada kutegue kilipuzi cha kutekwa ardhini  walipokuw a wakilisha mbuzi wa baba yao katika Kijiji cha Kikurrukur  lokesheni ya  Majimoto kaunti hii ya Narok. Wavulana hao wawili wa umri wa miaka …