Upinzani watoa matakwa mapya kwa serikali baada ya mkutano wa Kamukunji

Viongozi wa upinzani chini ya Muungano wa Azimio la Umoja wametoa orodha ya matakwa 12 wanayotaka yashughulikiwe na serikali ili kuyaboresha Maisha ya wananchi. Viongozi hao wkiongozwa na Raila Odinga, Martha Karua na Kalonzo Musyoka, walitoa makataa yao baada ya kuandaa kikao…

Rais Ruto azindua mpango wa ujenzi wa reli ya Jiji la Nairobi.

Rais William Ruto alasiri la leo ameongoza shughuli za kuweka msingi kwa awamu ya kwanza ya ujenzi wa mfumo wa usafiri wa reli katika jiji la Nairobi. Akizungumza katika hafla hiyo iliyoandaliwa katika kituo kikuu cha reli jijini Nairobi, rais amesema kukamilika…

Mwanafunzi mmoja aendelea kufanya mtihani wake hospitalini baada ya kujifungua.

Mwanafunzi mmoja anaendelea kufanyia mtihani wake wa KCSE katika hospitali ya Ololulunga Narok kusini baada ya kujifungua. Kwa mujibu wa naibu kamishana wa Narok kusini Felix Kisalu,mwanafunzi huyo amejifungua mtoto wa kike na yuko katika hali nzuri. Aidha Kisalu ameeleza kuwa mwanafunzi…

Watoto wanne walazwa hospitalini Homa Bay baada ya kudaiwa kupewa sumu na baba yao

BY ISAYA BURUGU 7TH DEC 2022-Watoto wanne wamelazwa hospitalini wakiwa hali mahututi  baada kudaiwa kupewa sumu  na kudungwa kisu na baba yao  kabla yake kuaga dunia kufuatia kujitia kitanzi. Kisa hicho kinaripotiwa kutekelezwa kwenye  yao ya kukodi  katika kituo cha  kibiashara cha…

Majaji wapya 20 waapishwa huku rais Wiliam Ruto akiwataka kuwahudumia wananchi bila mapendeleo

BY ISAYA BURUGU 7TH  DEC 2022-Rais  William Ruto amewataka majaji 20 wapaya walioteuliwa kuhudumu katiaka mahakama kuu  kuwatumikia  wananchi  kwa moyo mmoja na kuzingatia maadili ya hali ya juu.Akizungumza katika ikulu ya Nairobi wakati wa kuapishwa kwa majaji hao,Ruto amewataka majaji hao …

Huduma zote za serikali kupatikana mitandaoni katika kipindi cha miezi 6 ijayo.

Rais William Ruto ameweka wazi kuwa anapania kuimarisha maswala ya kidigitali na kiteknolojia humu nchini, ili kufungua nafasi zaidi za ajira ili kuinua Maisha ya wakenya wanaopata kipato chao kupitia njia za kidijitali. Akizungumza katika chuo cha mafunzo ya anuwai cha Kabete,…

Bunge la kaunti ya Narok lapitisha bajeti ya shilingi billioni 15.4.

Bunge la kaunti ya Narok limepitisha bajeti ya shilingi billioni 15.4. Kulingana na mwenyekiti wa bajeti Timothy Ole Maku na ambaye pia ni mwakilishi wadi wa Naikara ni kwamba kila sekta itapokea mgao kutoka kwa bajeti hiyo. Kwa upande wake kiongozi wa…

Uhalifu Nakuru: Mwanamme mmoja amuua mpenziwe huko Nakuru kabla ya kutoweka

BY ISAYA BURUGU 6TH DEC 2022-Maafisa wa upelelezi wa jinai DCI huko Moro, Kunti ya Nakuru wameanzisha msako mkali  kumtafuta mwanamume aliyemuua  mpenziwe.Mshukiwa  Moses Njeri anaripotiwa kumdunga mpenzi wake Hannah Ndirangu mwenye umri wa miaka 28  kwa kisu kifuani kabla ya kutoroka…