Upanzi wa Miti Narok: Shirika la Pafeed lazindua muradi wa uanzi wa miti

BY ISAYA BURUGU ,6TH DEC 2022-Shirika lisilokuwa lakiserikali linalojihusisha na upanzi wa miti la pafeed limezindua  mradi wa upanzi wa miti katika shule ya msingi ya  Nairasirasa kaunti ya Narok.Kufikia sasa limepanda jumla ya miti 3900 katika maeneo matatu tofauti. Kulingana na…

Kibicho ampisha Omollo kama katibu katika wizara ya mambo ya ndani.

Aliyekuwa katibu katika wizara ya usalama wa ndani Karanja Kibicho, ameikabidhi mikoba ya wadhifa huo kwa katibu mpya Raymond Omollo ambaye anatarajiwa kuanza jukumu lake katka wizara hiyo baada ya kuapishwa kwamo mwishoni mwa wiki iliyokamilika. Akizungumza baada ya kutwaa ofisi yake…

Viongozi wa upinzani waahidi kuandaa sherehe zao za Jamhuri jijini Nairobi.

Viongozi wa upinzani wakiongozwa Raila Odinga na Martha Karua ambaye ni kinara wa chama cha Narc Kenya, wataandaa hafla yao ya maadhimisho ya sherehe za Jamhuri, kando na ile itakayoandaliwa na kuongozwa na rais William Ruto. Karua ambaye aliiwasilisha taarifa ya muungano…

Wazazi wahimizwa kuwatunza wana wao wakati huu wa likizo ndefu.

Wito umetolewa kwa wazazi kuwatunza wana wao vyema haswa wakati huu ambapo wako kwenye likizo ndefu. Huu ni wito wake naibu chifu wa Olashapani Purity Tompo. Akizungumza ofisini mwake, Bi. Tompo amesema kuwa wasichana wengi wamepachikwa ujauzito katika eneo hilo wakiwa wamewatembelea…

Kitendawili cha IEBC: Naibu mwenyekiti wa IEBC Juliana Cherera amejiuzulu

BY ISAYA BURUGU 5TH DEC 2022-Naibu mwenyekiti wa tume ya IEBC Juliana Cherera amejiuzulu kwenye wadhifa wake katika tume hiyo.Katika barua yake kwa rais William Ruto, Cherera alimjulisha kuhusu kujiuzulu kwake kutoka kwa baraza hilo la  uchaguzi. Cherera alisema katika kipindi chake…

Rais William Ruto asisitiza kujitolea kwa serikali yake katika kuiunga mkono kikamilifu idara ya mahakama

BY ISAYA BURUGU 5TH DEC,2022-Wiliam Ruto amesema kuwa  kuna haja ya kukumbatia mifumo mengine ya kutafuta haki badili ya kutegemea mahakama pekee.Akizungumza jijini Nairobi wakati wa uzinduzi wa tume ya utekelezaji sheria na idara ya mahakama,Ruto amesema kuwa kwa sasa mahakama za…

Kenya yaungana na ulimwengu kuadhimisha siku ya walemavu duniani.

Kenya imeungana na ulimwengu hii leo kuadhimisha siku ya walemavu duniani kauli mbiu ya mwaka huu ikiwa Suluhu za mageuzi kwa maendeleo jumuishi. Kaunti ya Narok vilevile haijaachwa nyuma katika kuadhimisha siku hii ambapo hafla ya kuwasherehekea watu wenye ulemavu iliandaliwa katika…

TSC kuwaajiri walimu 30,000 na kutoa mafunzo ya mtaala wa CBC kwa walimu wote nchini.

Tume ya kuwaajiri waalimu nchini TSC itawaajiri waalimu 30,000 mwezi januari mwaka ujao, ili kusaidia kupunguza uhaba wa waalimu katika shule mbalimbali humu nchini, hasa wakati huu taifa litakua linashuhudiwa wanafunzi wakijiunga na madarasa ya Gredi ya saba chini ya mtaala mpya…