Makamishna wa IEBC

Rais William Ruto awasimamisha kazi makamishna wanne wa IEBC.

Rais William Ruto amewasimamisha kazi makamishna wanne wa tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC wanaotuhumiwa kwa utovu wa nidhamu na ukiukaji wa Katiba. Wanne hao ni pamoja na naibu mwenyekiti wa IEBC Juliana Cherera, Francis Wanderi, Irene Masit na Justus Nyang’aya.…

Madereva wazidi kuimizwa kuwa wangalifu barabarani msimu wa sherehe za krismasi ukibisha hodi

BY ISAYA BURUGU  2ND DEC 2022-Madereva wametakiwa kuwa wangalifu msimu huu wa krismasi kufuatia ajali mbaya ya barabara katika barabara kuu ya Narok Mahiu mahiu . Akizungumsa   eneo Narok mashariki naibu kamishana wa eneo hilo Lorenze Kinyua amesema madereva wametakiwa kuwa wangalifu…

Usalama waimarishwa Narok huku watainiwa wa mtihani wa KCSE wakianza mtihani huo kote nchini

 BY ISAYA BURUGU 2ND DEC 2022-Huku mtihani wakitaifa kwa kidato cha nne ukianza rasmo kote nchini hivi leo,Usalama umeimarishwa katika vituo vya mitihani kaunti ya Narok .Kwa mjibu wa kamishana wa kaunti ya Narok Isaac Masinde maafisa wa polisi wakutosha wametumwa kwenye…

Shule za msingi zitatumiwa na wanafunzi wa gredi ya saba wala sio shule za upili – Taarifa ya Jopokazi la CBC yasema.

Wazazi walio na wanafunzi wanaoendelea na masomo yao chini ya mtaala mpya wa elimu wa CBC, sasa wamepata kupumua baada ya taarifa ya jopokazi lililotwikkwa jukumu la kukusanya maoni kuhusu mtaala huo kuwasilisha ripoti yake kwa rais William Ruto. Ripoti hiyo ya…

Makamishna wa IEBC

Kamati ya JLAC yapendekeza kuondolewa kwa makamishna wanne wa IEBC.

Kamati ya Bunge ya Kitaifa ya Haki na Masuala ya Kisheria imependekeza kuundwa kwa jopo la kuwasikiliza Makamishna wanne wa IEBC wanaochunguzwa. Makamishna hao wanatuhumiwa kwa ukiukaji mkubwa wa katiba, uzembe na utovu wa nidhamu wakati wa uchaguzi wa Agosti 9. Kamati…

Askofu wa Eldoret Dominic Kimengich aitaka serikali kusitisha mipango ya kuagiza mahindi kutoka nje ya nchi

BY ISAYA BURUGU,1ST DEC,2022-Askofu wa jimbo la Eldoret Dominic Kimengich ameitaka serikali kwanza kununua mahindi kutoka kwa wakulima humu nchini kabla ya kuagiza mahidi kutoka nje ya nchi.Kwa mjibu wa askofu Kimengich ni kwamba,wakulima katika sehemu zinazokuza mahindi kwa wingi humu nchini…

Maadhimisho ya siku ya Ukimwi:Maambukizi ya virusi vya HIV yaripotiwa kuongezeka kwa mara ya Kwanza katika kipindi cha miaka kumi nchini Kenya

BY ISAYA BURUGU  ,1ST DEC 2022-Kenya inaungana na ulimwengu leo  kuadhimisha siku ya  ukimwi duniani  huku maambukizi ya virusi vya HIV na ugonjwa wa Ukimwi yakiripotiwa kuongezeka kwa mara ya kwanza nchini katika muda wa miaka kumi iliyopita.Haya ni kwa mjibu wa…

Rais Mstaafu aeleza imani ya kupata mwafaka wa amani nchini Congo.

Rais Mstaafu Uhuru Kenyattta ambaye anaongoza mchakato wa kutafuta amani kati ya serikali na waasi katika taifa ka kidemokrasia la Congo, amewataka wahusika kutoka pande zote kwenye mchakato huo, kuingia katika mazungumzo hayo wakiwa na moyo wa kupata suluhu, ili kuwezesha mchakato…