Mahakama yasitisha ombi la kutaka kubanduliwa kwa gavana Mwangaza.

Gavana wa Meru Kawira Mwangaza amepata afueni baada ya mahakama kusitisha ombi la kutaka abanduliwe mamlakani. Akitoa uamuzi huo, hakimu Wamae Cherere alisema kuwa Bunge la Kaunti ya Meru halikufuata utaratibu mwafaka katika kuanzisha hoja hiyo. Akizungumza baada ya uamuzi huo, Kawira…

Rais William Ruto azindua rasmi hazina ya hustler fund.

Rais William Ruto amezindua rasmi hazina ya hustler fund ambapo wakenya sasa wataweza kupata mikopo kuanzia shilingi mia tano hadi shilingi elfu hamsini. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo uliofanyika katika katika stesheni ya magari ya greenpark, rais Ruto amesema kuwa fedha hizo…

Wazazi Narok watakiwa kuajibikia malezi ya binti zao kukabili tatizo la mimba za mapema

BY ISAYA BURUGU ,30TH NOV,2022-Changamoto mbali mbali za kiuchumi zimetajwa kama sababu kuu zinazopelekea ongezeko la visa vya mimba za mapema miongoni mwa wanafunzi wakike kaunti ya Narok. Kwa mjibu wa mwakilishi wadi  wa la ololulunga  Dominick Songoi Lemein  ni kwamba umaskini…

Gavana wa Narok Patrick Ole Ntutu aitaka serikali kuhakikisha usawa kwenye zoezi la kuwajiri walimu

BY ISAYA BURUGU ,30TH NOV 2022–Gavana wa kaunti ya Narok Patrick Ntuntu ameitaka serikali kuangazia upya utaratibu wa kuwajiri walimu ili walimu kutoka kaunti hii waliopata mafuzno na kuvuzu pia waweze kupata ajira. Serikali ya Kenya Kwanza imepanga kuwajiri walimu alfu 30…

Serikali yawaonya wakaazi Narok dhidi ya kuwakeketa watoto wao kipindi hiki cha likizo ya krismasi

BY ISAYA BURUGU 29TH NOV 2022-Huku shule zikiwa zimefungwa kwa likizo ya mwezi Disemba ,wakaazi wa kaunti ya Narok wametakiwa kuwa mstari wa mbele kukomesha tatizo la ukeketaji na mimba za mapema.Naibu kamishana wa Narok kusini Felix Kisalu amesema serikali iko macho…

Askofu wa jimbo katoliki la Ngong John Oballa aongoza misa ya mazishi kwa mwenda zake Mary Ndumia mjini Nyeri

BY ISAYA BURUGU 29TH NOV 2022-Askofu wa jimbo katoliki la Ngong John Oballa Owaa hivi leo ameongoza misa ya mazishi kwa Mwenda zake mkewe mzee Paul Ndumia Mary Ndumia Wambui.Misa hiyo imeandaliwa katika parokia ya mtakatifu Paulo karangia.Wakati wa  ibada hiyo baba…

Rais Ruto ashauri wapizani: Kuna njia zaidi za kulalamika bila maandamano.

Rais William Ruto amewaomba viongozi wa Upinzani kutafuta mbinu mbadala za kueleza kutoridhika kwao na jinsi serikali ya Kenya kwanza inatekeleza majukumu yake badala ya kuandaa maandamano. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa kituo cha usambazaji cha Twiga, Rais ameweka wazi kuwa…

Uagizaji wa chakula cha GMO wasitishwa na mahakama kuu.

Mpango wa serikali wa kuagiza mahindi ya Kisaki au GMO umepigwa breki baada ya mahakama kuu kutoa agizo la kusitisha uagizaji wa vyakula hivi. Agizo hili limetolewa kusitisha uagizaji wa vyakula hivi hadi itakapoamuliwa kesi iliyowasilishwa mahakamani na muungano wa wakulima wadogo…