Zaidi ya wanafunzi milioni 2.5 waanza mtihani wao wa kitaifa.

Zaidi ya wanafunzi milioni 2.5 wa darasa la nane na sita mtawalia wameanza rasmi mtihani wao wa kitaifa ambao utakamilika siku ya jumatano. Kati ya watahiniwa hao milioni 2.5, milioni 1.2 wanaadika mitihani ya KCPE huku 1.3 wakiwa wa kwanza kufanya mitihani…

KMPDU yatishia kugoma kulalamikia Kutekelezwa kwa maelewano kati yao na Serikali.

Madaktari humu nchini wametishia kuanza mgomo iwapo mazungumzo kati yao na serikali kuhusu utekelezaji wa Mkataba wa Makubaliano ya Pamoja (CBA) wa 2017-2021 hayatazaa matunda. Haya ni kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa Muungano wa Madaktari, Wanafamasia na Madaktari wa Meno (KMPDU)…

Washukiwa 16 wa ujambazi wakamatwa Embakasi,Nairobi

BY ISAYA BURUGU 26TH NOV 2022-Washukiwa 16 wa ujambazi wamekamatwa Embakasi, Kaunti ya Nairobi. Polisi walisema washukiwa wa uhalifu mbaya walinaswa Ijumaa usiku na kufungiwa katika kituo cha polisi cha Villa, kaunti ndogo ya Embakasi. Watu hao walikamatwa saa 12.40 alfajiri na…

Watu 21 wapotea kifo baada ya basi la kampuni ya Guardian Angel kutumbukia mtoni Kisii

BY  ISAYA BURUGU ,26TH NOV 2022-Abiria 21 waliokuwa wameabiri bus la kampuni ya Gaurdian kule kisii  wamepoa kifo baada ya basi hilo kuanguka mtoni. Hata hivyo abiria wote wameokolewa  na kupelekwa kwenye hospitali ya rufaa ya kisii baada ya kupata majeraha.Basi hilo…

Kenya yaungana na ulimwengu kuadhimisha siku ya kampeni dhidi ya dhuluma za kijinsia.

Taifa la Kenya limeungana na ulimwengu hii leo ili kuadhimisha mwanzo wa siku kumi na sita za kampeni dhidi ya dhulma za kijinsia. Takwimu za umoja wa mataifa kuhusiana na dhuluma za kijinsia zinaashiria kuwa kati ya kila wanawake 3, angalu mmoja…

Raila, Karua na Kalonzo waongoza kikao na magavana wa Azimio.

Kinara wa muungano wa Azimio raila Odinga ameandaa kikao cha magavana wa muungano huo kutwa ya leo eneo la Naivasha katika kaunti ya Nakuru. Muungano huo uliandaa kikao hicho ili kuzungumzia maswala yanayowasibu katika muungano huo, kukiwa na wasiwasi huenda kukashuhudiwa mgawanyiko…

Watahiniwa wa darasa la nane na sita wafanya maandalizi ya mwisho .

Wanafunzi milioni 1.2 wa darasa la nane pamoja na wanafunzi milioni 1.3 wa darasa la sita watakaofanya mtihani wa KCPE na KPSEA wiki ijayo wamefanya maandalizi ya mwisho kabla ya mitihani hiyo kuanza. Watahiniwa hao kutoka shule mbalimbali humu nchini wameonyesha utayari…

Makamishna wa IEBC

Vikao vya kusikiliza kesi ya makamishna wanne wa IEBC vyang’oa nanga.

Kamati ya sheria katika bunge la kitaifa imeanza vikao vya kusikiliza malalamishi yaliyowasilishwa dhidi ya makamishna wanne wa IEBC waliojitenga na matokeo ya uchaguzi mnamo agosti mwaka huu. Wanne hao ni pamoja na naibu mwenyekiti wa tume hiyo Juliana Cherera, Irene Masit,…