Huku gumzo la vyakula vya kisaki au GMO likiendelea kutawala na kauli zikitolewa kutoka pande mbalimbali, wazee wa Njuri ncheke kutoka katika kaunti ya Meru, wamejitokeza na kuiunga mkono hatua ya serikali ya kuagiza vyakula hivi vya GMO. Wazee hao wameweka wazi…
Wabunge kutoka eneo la magharibi wamekutana na mkuu wa mawaziri Musalia Mudavadi ambapo wameahidi kufanya kazi pamoja kwa maendeleo ya eneo hilo. Wabunge hao wakiongozwa na Mwenyekiti wa muungano wa wabunge wa Kanda ya Magharibi John Waluke walikutana na Mudavadi katika kikao…
Rais William Ruto amesema serikali itapanua uhusiano wa kiuchumi na Korea Kusini ili kubuni nafasi za biashara na ajira kwa wakenya. Akizungumza wakati wa mkutano nchini Korea Kusini, Rais Ruto alisema Kenya itashirikiana na Serikali ya Korea Kusini kufungua fursa katika teknolojia,…
Rais William Ruto amewasili katika taifa la Korea kusini kwa ziara rasmi katika taifa hilo ambapo anatarajiw akuandaa mashauriano na rais Yoon Suk Yeol. Rais Ruto aliwasili katika taifa la Kora Kusini adhuhuri ya leo Jumanne 22.11.2022, na anatarajiwa kuendeleza mashauriano na…
BY ISAYA BURUGU 22ND NOV 2022-Huku mitihani ya kitaifa ikiratibiwa kuanza kote nchini katika muda wa wiki moja ijayo shule ziko kwenye harakati za mwisho mwisho kujiandaa kwa kipindi hicho cha mitihani. Shule ya upili ya wasichana ya Kilgoris haijaachwa nyuma katika…
BY ISAYA BURUGU 22ND NOV 2022-Serikali ya kaunti ya Kisumu imezindua mkakati wa utoaji huduma msingi za kiafya unaotilia maanani kuzuia magonjwa huku washirika wakiitisha kutengewa fedha Zaidi za mpango huo.Mpango huo wa miaka miwili unatokana na na mpango wa kitaiafa wa…
Rais William Ruto ameunda Kamati ya Kitaifa ya Kukabiliana na jinamizi la Ukame, kamati itakayoongozwa na Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa kampuni ya mawasiliano ya Safaricom Peter Ndegwa. Kulingana na Notisi ya Gazeti la Serikali iliyochapishwa hii leo, uundaji wa kamati hiyo ulitokana…
Rais William Ruto amesisitiza kwa mara nyingine kujitolea kwa taifa la Kenya katika kulipiga jeki taifa la DRC Congo na kulisaidia ili kukabiliana na changamoto nyingi zinazolikumba taifa hilo. Rais Ruto aliyasema haya katika hotuba yake nchini DRC alikowasili ili kufanya mashauriano…