Mmiliki wa jumba lililoporomoka katika eneo la Ruaka atiwa mbaroni.

Jengo lenye ghorofa tano liliporomoka katika eneo la Ruiru kaunti ya Kiambu saa chache baada ya kuhamishwa kwa wapangaji Zaidi ya mia moja kutoka kwa jengo hilo. Gavana wa Kiambu Kimani Wamatangi, pamoja na Zimamoto waliongoza shughuli za uokoaji Jumapili baada ya…

Waziri Moses Kuria asutwa kufuatia matamshi yake kuhusu vyakula vya GMO.

Askofu mkuu wa jimbo kuu katoliki la Nyeri Anthony Muheria ametoa msimamo wake kuhusu utata unaozunguka hatua ya serikali kuruhusu uingizaji wa vyakula kisaki humu nchini. Kwenye kikao na waandishi wa habari, askofu Muheria ameyasuta matamshi ya waziri wa biashara na viwanda…

Bobi Wine na Haki Afrika waomba ushirikiano kuimarisha Demokrasia nchini Uganda.

Kiongozi wa upinzani kutoka taifa Jirani la Uganda Robert Kyagulanyi, almaarufu Bobi Wine amesifia ujirani mwema wa taifa la Kenya na mataifa mengine ya jumuia ya Afrika Mashariki, hasa katika shughuli zao za kutetea haki na kupigania demokrasia katika mataifa wanachama. Kyangulanyi…

Wanajeshi 50 watumwa DRC kufanikisha huduma za teknolojia.

Bodi Kuu ya Kampuni ya Kenya Signals (KENSIG) imeondoka humu nchini kuelekea DRC ambapo kazi yao kuu ni kutoa na kusaidia mawasiliano na huduma za teknolojia ya habari kwa wanajeshi wanaokabiliana na waasi wa M23. Naibu Kamanda wa Jeshi (DAC) Meja Jenerali…

Rais Ruto azindua mradi wa ujenzi wa barabara ya kilomita 40 huko mtwapa.

Rais William Ruto hii leo amezindua mradi wa ujenzi wa barabara ya mtwapa-kilifi ambayo inatarajiwa kurahisisha usafiri baina ya kaunti za Mombasa na Kilifi. Rais Ruto amesema kuwa barabara hiyo ya kilomita 40 itapunguza kero la msongamano wa magari sawa na kuimarisha…

EPRA yapanga kampeni kuwasadia wakenya kujiepusha na mikasa ya gesi.

Mamlaka ya kudhibiti bei ya mafuta humu nchini EPRA imezindua msururu wa kampeni za kuwahamasisha wananchi kuhusu matumizi yanayofaa ya kawi ili kuepuka ajali za mara kwa mara. Mamlaka hiyo imeanzisha kampeni hiyo ili kuwaonya wananchi dhidi ya kufyonza mafuta katika lori…

Washukiwa sita wa uhalifu wazuiliwa katika kituo cha polisi cha kasarani.

Maafisa wa polisi katika eneo la Kasarani wamewatia nguvuni washukiwa sita wa ujambazi wanaohuishwa na visa vya uhalifu katika maeneo mbalimbali jijini Nairobi.Washukiwa hao sita wa ujambazi wanazuiliwa katika kituo cha polisi cha Kasarani. Washukiwa hao walikamatwa  wakati wa msako wa usalama…

Rais Ruto azindua kiwanda cha kutengeneza chuma katika kaunti ya Kwale.

Rais William Ruto amezindua rasmi kiwanda cha kutengeneza chuma cha Devki katika eneo la kinango kaunti ya Kwale. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Ruto amesema kuwa serikali itaunga mkono kiwanda hicho ambacho kimegharimu shilingi bilioni 30 ili kutoa nafasi Zaidi za ajira…