Mbunge wa Sirisia John Waluke aachiliwa huru kwa dhamana ya shilinngi milioni 10 pesa taslimu

BY ISAYA BURUGU,18TH NOV 2022-Mbunge wa eneo bunge la Sirisia  John Waluke  ameachiliwa kwa dhaman aya shilingi milioni kumi pesa taslim na mahakama ya rufaa  kusubiri kusikilizwa kwa rufaa aliyowasilisha dhidi ya hukumu yake ya miaka 67.Haya yanajiri  baada ya Waluke mwezi…

Serikali yatoa mwelekeo kuhusu namna wakenya watakavyoomba mikopo katika hazina ya ‘Hasla’

BY ISAYA BURUGU ,18TH NOV,2022-Waziri wa vyama vya ushirika Simon Chelugui ametoa mwelekeo kuhusu hazina ya hasla ambayo rais Wiliam Ruto anatarajiwa kuzindua mwishoni mwa mwezi huu. Akizungumza na wandishi Habari afisini mwake,Waziri amesema kuwa masharti ya utoaji mikopo hiyo ambayo kiwango…

MP. John Kiarie

Mazingira: Wabunge waidhinisha hoja ya upanzi wa miti barabarani.

Wabunge katika bunge la kitaifa wamekubaliana kwa kauli moja kuiidhinisha hoja ya mbunge wa Dagoretti John Kiarie, itakayowalazimu wanakandarasi kuipanda miti iliyong’olewa wakati wa ujenzi wa barabara. Hoja hii ambayo sasa inasubiri hatua za mwisho ili kuwa sheri, pia imeitaka serikali kuweka…

Ezekiel Machogu

Waziri wa elimu aahidi uadilifu wakati wa mitihani ya kitaifa.

Waziri wa Elimu Ezekiel Machogu amesisitiza utayari wa serikali katika kuifanikisha mitihani ya kitaifa inayotarajiwa kuanza baadae mwezi huu. Akizungumza katika Kaunti ya Kisumu alipokutana na Wakuu wa shule na wakurugenzi wa elimu katika kaunti hiyo, Waziri machogu alitoa hakikisho kuwa uadilifu…

Madereva wahimizwa kuwa waangalifu barabarani ili kuzuia maafa.

Huku taifa likijiandaa kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya waathiriwa wa ajali, almashauri ya uchukuzi na usalama barabarani NTSA imeendelea kuwahamasisha madereva wa magari ya uchukuzi wa umma kuwa waangalifu barabarani. NTSA kwa ushirikiano na wahudumu wa magari ya uchukuzi wa umma imeandaa…

Vyakula vya kisaki kuingizwa nchini bila ushuru kwa muda wa miezi sita ijayo.

Waziri wa Biashara, Uwekezaji na Viwanda Moses Kuria ametangaza kuwa serikali itaruhusu uingizaji wa vyakula vya kisaki nchini bila ushuru kwa muda wa miezi sita ijayo. Kuria amedai hatua hiyo inalenga kupunguza uhaba wa chakula unaosababishwa na ukame unaoendelea. Rais William Ruto…

Jengo lingine la poromoka Ruaka kaunti y Kiambu mtu mmoja akiripotiwa kufariki

BY ISAYA BURUGU ,17TH NOV 2022-Wakaazi wa Ruaka  eneo la Kiambu, waligutushwa na kuporomoka kwa jengo la ghorofa 5 lilokuwa  likijengwa.Jengo hili ambalo limeanguka karibu na eneo ya  Fortune Club liliangukia nyumba zingine za karibu.Duru zasema kuwa mtu mmoja ameafariki kutokana na…

Kasarani Building Collapse

Zacharia Njeru aahidi kukabiliana na tatizo la maporomoko baada ya mkasa wa Kasarani.

Waziri wa ardhi humu nchini Zacharia Njeru ameahidi kuwakabili wajenzi wote wanaoendeleza ujenzi ambao haujaafikia viwango hitajika. Waziri njeru alisema haya baada ya kuzuru eneo la mkasa ambapo jengo la ghorofa saba liliporomoka katika eneo la Kasarani Jijini Nairobi. Njeru aliyeandamana na…