Rais Ruto ajitenga na semi za kubadilisha katiba kuhusu muda wa Kuhudumu.

Ruto ameongeza kuwa wabunge wana haki yao ya kutoa maoni ila akaahidi kujitenga na semi zozote za aina hiyo.

SPIKA WATENGAULA ATANGAZA KUSITISHA MAHOJIANO YA MAKATIBU WKAUU WATEULE

BY ISAYA BURUGU ,16TH NOV 2022-Spika wa bunge la kitaifa Moses Wetangula, ametangaza kusitishwa kwa zoezi la kuwapiga msasa Makatibu Wakuu walioteuliwa, kufuatia agizo la mahakama ya leba kusitisha zoezi hili, ili kupisha kusikilizwa na kuamuliwa kwa kesi iliyowasilishwa na chama cha…

Kenta apongezwa kwa kuondoa kesi ya kupinga ushindi wa Ntutu kama gavana wa Narok

BY ISAYA BURUGU 16TH NOV 2022-BAADHI YA viongozi katika kaunti ya narok wamejitokeza kumpongeza aliyekuwa mgombeaji wa kiti cha ugavana narok kupitia chama cha odm moitalel ole kenta kwa kuwasilisha ombi kwenye mahakama kuu ya narok kuondoa kesi aliyowasilisha kwenye mahakama hiyo…

Uhuru Kenyatta

Congo DR: Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta atoa wito wa mazungumzo ili kupata amani.

Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta amewaomba wapiganaji katika maeneo tofauti ya taifa la Congo DR, kukumbatia njia mbadala za kutatua tofauti zao, na kusitisha mapigano yanayoendelea katika taifa hilo. Uhuru alikua akizungumza baada ya kuhudhuria kikao cha mashauriano na kutafuta njia za kurejesha…

Makamishna wa IEBC

Bunge la kitaifa laombwa kuwaondoa ofisini maafisa 4 wa IEBC.

Maombi manne yamewasilishwa katika bunge la kitaifa kuwataka makamishna wanne wa tume ya IEBC Juliana Cherera, Justus Nyang’aya, Francis Wanderi na Irene Masit kuondolewa ofisini. Akiwasilisha taarifa za maombi haya, spika wa bunge la Kitaifa Moses Wetangula, amesema kuwa maombi haya yaliwasilishwa…

Issa Timamy

Issa Timamy atwaa mikoba ya uongozi wa ANC kutoka kwa Mudavadi.

Gavana wa kaunti ya Lamu Isa Timamy, sasa ndiye kinara mpya wa chama cha Amani National Congress almaarufu ANC baada ya kukabidhiwa mikoba ya kuongoza chama hicho mapema leo na mkuu wa mawaziri humu nchini Musalia Mudavadi. Mudavadi alijiondoka kutoka katika usimamizi…

Asilimia 70 ya wagonjwa wa Saratani wanaogundiliwa kuchelewa wana uwezekano wa juu kufariki-Ripoti

BY ISAYA BURUGU 15TH NOV,2022-Ripoti iliyozinduliwa na taasisi ya kitaifa kuhusu saratani imefichua kuwa wagonjwa wawili kati ya watatu   wanaogunduliwa na ugonjwa wa saratani wako na uwezekano mkubwa wa kuaga dunia kutokana na ugonjwa huo. Kwa mjibu wa taasisi hiyo ,asilimia 70…

Askofu John Ole Mpurkoi atoa wito kwa wahisani kujitolea kuwasaidia wanaokumbwa na baa la njaa Narok

BY ISAYA BURUGU ,15TH NOV,2022- WITO umetolewa kwa  wafanyibiahsara sawa na taasisi za kifedha katika kuaunti hii kujitolea katika kuwasaidia walioadhirika na baa la njaa kufuatia uukame unaendelea kushudiwa katika sehemu mbali mbali za nchi sawa na kaunti hii ya Narok. Ni…