Wakfu wa KCB watoa msaada vifaa vya ujenzi vipatavyo 476 kwa vijana katika sekta ya ujenzi nchini

BY ISAYA BURUGU,12TH NOV 2022-Wakfu wa KCB na shirika la kimaendeleo la ujerumani  hivi leo imesambaza vifaa 476 vya ujenzi  kwa vijana katika sekta ya ujenzi vinavyogharimu shilingi milioni 19 . Hii ni kufuatia kukamilishwa kwa mafunzo ya kiufundi  kwenye baadhi ya…

Wanaume Narok watakiwa kuwaacha watoto wakike kumaliza elimu badala ya kuwapachika mimba

BY ISAYA BURUGU 12TH NOV,2022-Mwakilishi wa akina mama kutoka kaunti hii ya Narok Rebecca Tonkei  sasa anawataka wanaume kuwapa Watoto wakike fursa kupata elimu badala ya kuwapachika mimba wakiwa na umri mdogo. Akizungumza mjini Narok,Tonkei amesema ni ambo la kusikitisha kuona wasichana…

Rigathi Gachagua

Gachagua atoa ahadi ya serikali kuisaidia KNEC kufanikisha mitihani ya Kitaifa.

Naibu wa rais Rigathi Gachagua, ameahidi kwamba serikali itashirikiana kwa ukaribu na wizara ya elimu Pamoja na baraza la kitaifa la mitihani KNEC kuhakikisha kwamba mitihani ya kitaifa itaendelea kwa njia isiyokua na changamoto zozote. Akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa kipindi…

Serikali ya Narok yatakiwa kuimarisha biashara ya maziwa katika eneo la olorropil.

Akina mama ambao ni wakulima wa maziwa katika eneo la Olorropil kwenye kaunti ndogo ya Narok kaskazini wametoa wito kwa serikali ya Narok kuweka mikakati itakayosaidia kuimarisha biashara ya maziwa eneo hilo. Kwa mujibu wa kina mama hao ni kwamba kwa sasa…

Mwanamme mmoja amuuwa mama yake kwa kumchinja eneo la Kitutu Chache kusini kaunti ya Kisii

BY ISAYA BURUGU 11TH NOV,2022-Maafisa wa polisi kule Kisii wanachunguza kisa ambapo Mwanamume wa umri wa makamo kutoka Nyatieko, eneo la Kitutu Chache Kusini, kaunti  hiyo ya Kisii amemchinja mama yake baada ya kutofautiana kuhusu chakula. Wanakijiji wa Bomiruga walisema mshambuliaji alitenda…

Japheth Koome aapishwa rasmi kama inspekta mkuu wa polisi

BY ISAYA BURUGU,11TH NOV,2022-Inspekta mkuu mpa wa polisi  Japheth Koome ameapishwa rasmi  kuanza jukumu lake.Hafla ya kuapishwa kwa Koome imeandaliwa katika  mahakama ya juu nchini na kuongozwa na jaji mkuu Martha Koome. Akizungumza muda mfupi baada ya kuapishwa kwake Koome ameapa kukabiliana…

MP. John Kiarie

Wanakandarasi kupanda miti iliyokatwa wakati wa ujenzi wa barabara.

Mbunge John Kiarie akiwasilisha mswada wake Bungeni katika kikao cha bunge la taifa Alhamishi 11/10/2022

Raila Odinga

Raila Odinga aisuta serikali kwa kufumbia jicho uvunjaji wa sheria.

Kinara wa Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga ameishutumu serikali kwa kuunga mkono uvunjaji wa sheria na pia kwa kile alichokitaja kama hulka ya kutojali. Katika taarifa yake mapema leo, Bwana Odinga, pia ameisuta ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka…