Wakenya kusafiri nchini Afrika kusini bila visa.

Rais William Ruto amekuwa mwenyeji wa rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa ambaye yuko katika ziara rasmi ya siku mbili humu nchini. Akizungumza walipokuwa wakitoa taarifa ya pamoja katika ikulu ya rais jijini Nairobi, rais Ruto amepongeza hatua ya kuondolewa kwa masharati…

Msako dhidi ya pombe haramu mjini Narok wanasa watu 18

BY ISAYA BURUGU,09,NOV 2022-Maafisa wa polisi mjini Narok wamewatia mbaroni watu 18 wanaohusishwa na uuzaji wa pombe haramu mjini Narok.Kamishna wa kaunti ya Narok Isaac Masinde aliyedhibitisha kukamatwa kwao amesema kuwa oparesheni  hiyo ililenga wagemaji na watumizi wa pombe hiyo. Vilevile amesema…

Waziri Ezekiel Machogu akutana na maafisa wa tume ya kuwaajiri walimu TSC

 BY ISAYA BURUGU,09,NOV2022-Waziri wa elimu  Ezekiel Machogu hivi leo amefanya mkutano na  viongozi wa tume ya kuwaajiri ywalimu nchini TSC. Katika mkutano huo uliyoandaliwa katika afisi ya Waziri jumba la jogoo jijini Nairobi,maswala mengi yanayohusu  elimu bora kwa wanafuzni nchini yamejadiliwa. Waziri…

Ufaransa yatuma maafisa wake kwa uchunguzi nchini Tanzania kuhusu chanzo cha mkawa wa ndege ziwa Victoria

BY ISAYA BURUGU/BBC ,09,NOV 2022-Serikali ya Ufaransa kupitia ubalozi wake jijini Dar Es Salaam imetangaza kutuma kikosi cha maafisa na wataalamu wa uchunguzi na uchambuzi wa masuala ya usalama wa ndege kusaidia uchunguzi wa chanzo cha ajali ya ndege ya Precision Air…

Kenya Airways

Marubani wa Kenya Airways kurejea kazini Jumatano asubuhi baada ya mgomo wa siku 4.

Marubani wa shirika la ndege la Kenya Airways wanatarajiwa kurejea kazini asubuhi ya kesho ( Jumatano 9.11.2022 Saa kumi na mbili asubuhi), baada ya mahakama ya leba kuwaagiza kusitisha mgomo huo na kurejea kazini. Marubani wa KQ wamekua katika mgomo kwa muda…

Thika Level 5 Hospital

Kamati ya afya ya Seneti yapendekeza mabadiliko katika hospitali za Level 5

Hospitali za kiwango cha Level 5 kote nchini zinahitajika kuwa na mdaktari wengi waliofuzu pamoja na mashine za matibabu zinazohitajika ili kuweza kuwahudumia wananchi kwa wepesi. Kauli hii imetolewa na kamati ya bunge la seneti inayotathmini maswala ya afya, baada ya kuwahoji…

Dkt Resila Atieno ateuliwa kama msemaji mpya wa polisi.

Tume ya Kitaifa ya Huduma Kwa Polisi imepata msemaji mpya.Dkt Resila Atieno Onyango sasa ndiye msemaji mpya wa tume hiyo. Bi. Onyango ndiye Mwanamke wa pili kuhudumu kama msemaji  wa polisi nchini ambapo amechukua nafasi ya Bruno Shioso ambaye alipandishwa cheo na…

Mahakama ya leba yawaagiza marubani kurejea kazini kesho.

Mahakama ya leba imewaamuru marubani kurejea kazini kufikia kesho mwendo saa kumi na mbili alfajiri bila masharti yoyote. Mahakama hiyo iliwaita maafisa 11 wa KALPA baada ya kukataa kusitisha mgomo huo ambao umetajwa kuwa kinyume cha sheria. Marubani hao ambao walifika mbele…