Serikali yajitolea kuboresha mgao wa bajeti kwa mahakama kila mwaka.

Ripoti ya utenda kazi wa mahakama nchini sawa  na utekelezaji  wa haki iliyozinduliwa leo imebainisha kuwa upungufu wa wafanyakazi wa idara hiyo ndio kikwazo kikuu katika utekelezaji jukumu lake. Akizungumza wakati wa hafla hiyo iliyoandaliwa katika majengo ya mahakama ya juu, rais…

Ulanguzi wa Binadamu: Polisi kaunti ya Homa Bay wawakamata washukiwa watatu wa mtandao wa ulanguzi wa binadamu

BY ISAYA BURUGU,4TH ,NOV 2022-Watu watatu wametiwa mbaroni katika kaunti ya Homa Bay kuhusiana na ulanguzi wa Watoto.Kwa mjibu wa taarifa kutoka kwa polisi ni kwamba maafisa wa usalama walipata Habari  kuwa gari moja la kibinafsi lilikuwa linamsafirisha mtoto kutoka Oyugis  kuelekea…

Idara ya mahakama yazindua ripoti ya utenda kazi na utekelezaji haki huku ikibainika kuwa mengi yanasalia kufanywa

BY ISAYA BURUGU,04,NOV 2022-Ripoti ya utenda kazi wa mahakama nchini sawa  na utekelezaji  wa haki iliyozinduliwa leo imebainisha kuwa upungufu wawafanyikazi wa idara hiyo ndio kikwzzo kikuu katika utekelezaji jukumu lake.Cecilia Kabura ana mengi Zaidi. Ripoti hiyo iliyozinduliwa katika majengo ya mahakama…

Ndindi Nyoro

Ndindi Nyoro achaguliwa kuongoza kamati ya Bajeti.

Mbunge wa Kiharu Ndindi Nyoro amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati bunge la kitaifa kuhusu maswala ya Bajeti na Matumizi ya fedha. Katika wadhifa huo, Ndindi atakuwa na uwezo wa kuwaalika wawakilishi wa kamati za idara mbalimbali kutoa mapendekezo yao kuhusu yale wangetaka…

Raila Odinga aishutumu serikali kwa kupendekeza ongezeko la ushuru.

Kinara wa azimo la umoja Raila Odinga amesema kuwa hatua ya serikali kuanzisha uchunguzi dhidi ya maafisa tisa wa kitengo cha SSU kilichovunjwa, inanuia kumdhalilisha aliyekuwa mkurugenzi wa DCI George Kinoti. Kwenye kikao na waandishi wa habari, Odinga amedokeza kuwa iwapo serikali…

Jaji Mkuu azindua Wiki ya Huduma kwa Watoto katika Mahakama ya Juu.

Jaji Mkuu Martha Koome amezindua Wiki ya Huduma kwa Watoto katika Mahakama ya Juu. Wiki ya Huduma kwa Watoto iliagizwa na Baraza la Kitaifa la Haki ya Utawala mwaka jana. Wiki hii ni maalum kwa ajili ya kutatua kesi za watoto katika…

Nitazidi kupigania maslahi ya chuo,asema prof Wainaina huku akirejea katika chuo kikuu cha KU

BY ISAYA BURUGU,03,NOV,2022-Naibu chanzela wa chuo kikuu cha Kenyatta Profesa Paul Wainaina amerejea chuoni humo hivi leo na kulakiwa kwa shangwe na nderemo kutoka kwa wanafunzi na wahadhiri. Hii ni baada yake kuachishwa kazi mwezi Julai  mwaka huu kufuatia msimamo wake kuhusu…

Wanaume wawili wafariki kwa kupigwa na umeme Thika

BY ISAYA BURUGU,03,NOV,2022-Wanaume wawili wamefariki dunia baada ya kupigwa na umeme asubuhi ya leo huko Thika Kaunti ya Kiambu. Kwa mjibu  wa duru  kutoka eneo hilo,wawili hao wanaripotiwa kukumbana na mauti yao walipokuwa wakiharibu milingoti ya taa za mtaani ili kuiba vifaa…